MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa
Habari

Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
NA MWANDISHI WETU
MBUNGE  wa Liwale  mkoani Lindi, Zubeir  Kuchauka  amezindua  kambi ya vijana kwa ajili ya kuhamasisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Katika uzinduzi huo amewataka vijana kujitokeza kwa wingi kujiandishika katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura .
Amewataka Novemba 27 mwaka huu  wajitokeze kwenda kupiga kura ili kutimiza haki ya kimsingi ya katiba ya nchi kuchagua viongozi  wanaofaa.
Amewasisitiza vijana kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali hususani katika miradi ya maendeleo.
Amewaasa  kutoshiriki katika makundi ya ovyo  ili Kambi hiiyo iwe yenye matokeo chanya  kwa Chama  Cha Mapinduzi.
“Vijana kuwa na uadilifu na uaminifu ndio nguzo ya maisha kwa sasa  na si kujiunga na makundi yasiyo na mafanikio,”amesema

You Might Also Like

TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge

NIT Yasema Ina Uwezo Wa Kufundisha Kozi Ya Urubani

TEEA YAOMBA USHIRIKIANO NA WIZARA YA MADINI KUIMARISHA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab

Senyamule Ahamasisha Ushiriki Wa Vijana Katika Uchaguzi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH
Next Article Majaliwa Asisitiza Matumizi ya Mifumo ya Kieletroniki Katika Makusanyo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bunge Marathon kufanyika April 18,yakidhi viwango vya kimataifa
Habari April 14, 2026
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu, Aongoza Harambee Mei Mosi 2026
Habari April 14, 2026
Ubunifu Wa Majengo Watakiwa Kuzingatia Tija Na Gharama Nafuu
Habari April 11, 2026
Waziri Ulega aridhishwa na miradi ya dharura TANROADS
Habari April 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?