MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa
Habari

Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limevitaka vyombo vidogo vya majini kuzingatia usalama wa abiria kwa kuwa na vifaa vya uokozi ndani ya chombo.
Pia imevitaka vyombo hivyo kutosafiri usiku, ikiwa ni pamoja na wamiliki wa vyombo vya uvuvi kujiepusha na tamaa ya kubeba abiria kinyume cha sheria na taratibu kunakosababisha kuhatarisha maisha ya watu.
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, imeeleza hayo baada ya kupokea taarifa ya kuzama kwa boti ya MV. Marwa KISS Ziwa Victoria
Taarifa hiyo imesema boti hiyo ilitokea Mwalo wa Iramva kuelekea Mwalo wa Igundu, Wilaya ya Bunda Mkoani Mara Septemba 15, mwaka huu.
Kwa mujibu wa Taarifa hiyo boti iliyozama ilikuwa imekodishwa kubeba abiria wanaokadiriwa 21.
Imesema kutokana na ajali hiyo abiria 14 waliokolewa, kati ya hao 10 wanaume waliobaki wanawake.
“Hadi kufikia saa mbili usiku Septemba 16, abiria saba walikuwa hawajapatikana , na mwili wa abiria mmoja wa jinsia ya kike ulipatikana,”imesema.
Imesema ufuatiliaji na uokozi wa miili hiyo bado unaendelea.

You Might Also Like

Katambi Awataka CBE Kutoa Elimu Yenye Ushindani Kimataifa

Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa

  Tanesco Yagawa Zawadi Ya Majiko Sabasaba Kuhimiza Matumizi Nishati Safi

Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini

Fursa za Uwekezaji Kanda ya Ziwa: Buzwagi na Maeneo Mengine ya Kimkakati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki
Next Article Serikali Yaja Na Kanuni Mpya Ya Sheria Ya Fidia   Kuboresha Mazingira Ya Mfanyakazi 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?