MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari
Habari

Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MWENDESHAJI Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari (WRF), Muchunguzi Kabonaki ameishauri jamii kujiunga na mfuko huo iweze kunufaika nao.
Mfuko huo upo Chini ya Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Kabonaki ametoa ushauri huo alipozungumza na Gazeti la MFANYAKAZI akielezea jinsi mwanachama atakavyonufaika.
Amesema WRF unatoa mafao ya aina tano mojawapo likiwa ni fao  la kustaafu.
“Mwanachama aliyefikisha umri wa kisheria wa kustaafu kuanzia miaka 55 anapewa mafao, jumla ya michango yake na faida kwa kipindi alichokuwa mwanachama,” amesema.
Fao lingine linalotolewa na mfuko huo ni la kujitoa. Katika hilo Kabonaki amesema mwanachama aliyeamua kujitoa atapewa michango yake yote pamoja na faida zilizopatikana.
“Mwanachama anapojisajili kwenye mfuko hadi afikishe miaka miwili ndio ataruhusiwa kujitoa.
“Faida zinazopatikana za kiuwekezaji kila robo mwaka zitapelekwa kwenye akaunti yake,” amesema.
Kabonaki ameelezea fao lingine ni la kukosa kazi, kwamba mwanachama aliyepoteza kazi atapewa michango yake pamoja na faida.
Amesema mwanzo atapewa asilimia 50 kwa miezi mitatu ya kwanza, akiendelea kukosa kazi kwa miezi sita atapewa sehemu iliyobaki.
“Mfuko pia unatoa huduma ya “annuity”. Huu ni utaratibu ambao mwanachama ataweka fedha zake kwa mkupuo na kuingia makubaliano ya kulipwa kidogo kidogo kwa kipindi maalum. Katika kipindi hicho fedha ya mwanachama itaendelea kuzalisha faida kutoka kwenye uwekezaji ambao mfuko unafanya,” amesema.
Vile vile amesema kuna fao la wategemezi. Akifafanua hilo amesema wategemezi wa mwanachama aliyefariki watalipwa kulingana na kiwango kilichopo kwenye akaunti ya mwanachama pamoja na faida zote.
“Pia kuna manufaa ya kutumia michango ya mwanachama kama dhamana kwa ajili ya mikopo benki,” amesema.
Mfuko huo umeanzishwa mwaka jana kwa lengo la kutoa hifadhi ya jamii ya nyongeza kwa wanachama wa sekta rasmi na isiyo rasmi.

You Might Also Like

Pato la Mwananchi Lapanda Tabora

UDOM Yatafiti Dawa za Malaria, Vidonda vya Tumbo, Kisukari Kutoka Mimea ya Asili

Kamati Ya Bunge Yaipongeza TVLA Uzalishaji wa chanjo

NIT Yajivunia Uanzishwaji Chuo Cha Marubani

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maboresho sheria, kanuni za madini yameongeza mapato
Next Article WDC Kuboresha Miradi Yake Ya Majengo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria
Habari July 12, 2025
Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike
Habari July 12, 2025
OCPD Nguzo Kuu ya Utungaji Sheria – Dkt. Ndumbaro
Habari July 12, 2025
FCC Yapongezwa Kukabili Bidhaa Bandia
Habari July 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?