MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Habari

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke iinatarajiwa kufanyiwa maboresho katika maeneo ya huduma Kwa wateja na kuondoka changamoto ya Mawasiliano kutola Kitengo li Moja kwenda kingine.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya John Jingu amesema hayo leo alipotembelea Hospitalini hapo kuangalia u ora wa utoaji huduma na kuongeza kuwa maboresho hayo yatasaidia huduma iwe rahisi na yenye tija.

Amesema wamekutana na wagonjwa kuona ni namna gani wanapokea huduma ambapo kiwango kikubwa wagonjwa wanasema wanaridhika na huduma zinazotolewa .

” Katika uboreshaji huo kuna maeneo ambayo tunahitaji kuyafanyia kazi ili kuimarisha utoaji wa huduma kwa ufanisi lakini kwa tija zaidi eneo la huduma kwa wateja inanatakiwa mtu akifika Hospitalini hapa aweze kupata huduma mara moja na asikae zaidi ya muda unaohitajika kukaa,” amesema.

Amesema kuna changamoto zingine za mawasiliano kutoka kitengo kimoja kwenda kingine na yenyewe inaweza kuleta ucheleweshaji wa hapa na pale lakini Serikali inawekeza kwa kiwango kikubwa kwenye tehama Ili kusaidia kwa kiasi kikubwa ucheleweshaji .

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Joseph Kimaro amesema ziara hiyo inawapa motisha wao watumishi walio chini ya Wizara ya Afya ili waweze kuendelea kuboresha huduma za Afya kwa wananchi wanaozitegemea.

You Might Also Like

Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi

Tanzania Kuweka Muongozo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Takwimu Kidijitali

Profesa Kitila Ataja Sababu Za Watanzania  Kumchagua Dkt Samia

Ushirikiano Wanataalum, Wanatasnia Kisekta Ni Muhimu Katika Maendeleo Kiuchumi

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Next Article Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?