MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Habari

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke iinatarajiwa kufanyiwa maboresho katika maeneo ya huduma Kwa wateja na kuondoka changamoto ya Mawasiliano kutola Kitengo li Moja kwenda kingine.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya John Jingu amesema hayo leo alipotembelea Hospitalini hapo kuangalia u ora wa utoaji huduma na kuongeza kuwa maboresho hayo yatasaidia huduma iwe rahisi na yenye tija.

Amesema wamekutana na wagonjwa kuona ni namna gani wanapokea huduma ambapo kiwango kikubwa wagonjwa wanasema wanaridhika na huduma zinazotolewa .

” Katika uboreshaji huo kuna maeneo ambayo tunahitaji kuyafanyia kazi ili kuimarisha utoaji wa huduma kwa ufanisi lakini kwa tija zaidi eneo la huduma kwa wateja inanatakiwa mtu akifika Hospitalini hapa aweze kupata huduma mara moja na asikae zaidi ya muda unaohitajika kukaa,” amesema.

Amesema kuna changamoto zingine za mawasiliano kutoka kitengo kimoja kwenda kingine na yenyewe inaweza kuleta ucheleweshaji wa hapa na pale lakini Serikali inawekeza kwa kiwango kikubwa kwenye tehama Ili kusaidia kwa kiasi kikubwa ucheleweshaji .

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Joseph Kimaro amesema ziara hiyo inawapa motisha wao watumishi walio chini ya Wizara ya Afya ili waweze kuendelea kuboresha huduma za Afya kwa wananchi wanaozitegemea.

You Might Also Like

Majaliwa ataka kuondolewe vikwazo vya rufaa za matibabu Afrika Mashariki

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane

Majaliwa  awataka waandamizi, vyombo vya usalama kutekeleza 4R

Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani

Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria
Next Article Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mgodi Wa Dhahabu Wa Nyanzaga Kunufaisha Wananchi, Ujenzi Wazidi Kupaa
Habari September 23, 2025
Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Habari September 23, 2025
Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?