MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Habari

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

“TUNATOA wito kwa wananchi wetu waweze kufika kwenye Ofisi zetu za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), kwa wakati ili waweze kutatuliwa migogoro yao ya kikazi,”.

Ofisa Mfawidhi Dar es Salaam wa ÇMA, Yohana Massawe amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi, mkoani Dar es Salaam.

Massawe amesema pia wananchi wanapokuwa bado wako kazini wapeleke changamoto wanazokutana nazo , kwani wengine hawana mikataba ya ajira, wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria,

Wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria, wengine wanapewa adhabu ambazo haziwastahili lakini wanakosa pa kupeleka changamoto zao.

“Idara ya Kazi pia ipo katika kuhakikisha kwamba viwango vya kazi vinasimamiwa kikamilifu, wafanyakazi na waajiri kila mmoja anafanya kazi yake kwa wakati wake katika viwango vinavyotakiwa kwa mujibu wa sheria,”amesema.

Amesema imani yake ni kwamba kila mmoja wakishirikiana mazingira ya kazi yatakuwa salama, yatakuwa ni mazingira bora.

You Might Also Like

Rais Samia Awasili Mwanza Kilele Cha Mbio za Mwenge

COSOTA Yapokea Migogoro 136 Ndani Ya Miaka Minne

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Ridhiwani: Maandalizi Mei Mosi  Yafikia Asilimia 88

Rais Mpya CWT Ikomba: ‘Nataka Kuwaunganisha Walimu, Kuitendea Haki Kazi Yetu’

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Fikeni kwa wakati CMA, mtatuliwe migogoro ya kikazi – Massawe
Next Article Aliyeachishwa kazi kulipwa miezi 12, stahiki nyingine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?