MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Habari

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

“TUNATOA wito kwa wananchi wetu waweze kufika kwenye Ofisi zetu za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), kwa wakati ili waweze kutatuliwa migogoro yao ya kikazi,”.

Ofisa Mfawidhi Dar es Salaam wa ÇMA, Yohana Massawe amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi, mkoani Dar es Salaam.

Massawe amesema pia wananchi wanapokuwa bado wako kazini wapeleke changamoto wanazokutana nazo , kwani wengine hawana mikataba ya ajira, wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria,

Wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria, wengine wanapewa adhabu ambazo haziwastahili lakini wanakosa pa kupeleka changamoto zao.

“Idara ya Kazi pia ipo katika kuhakikisha kwamba viwango vya kazi vinasimamiwa kikamilifu, wafanyakazi na waajiri kila mmoja anafanya kazi yake kwa wakati wake katika viwango vinavyotakiwa kwa mujibu wa sheria,”amesema.

Amesema imani yake ni kwamba kila mmoja wakishirikiana mazingira ya kazi yatakuwa salama, yatakuwa ni mazingira bora.

You Might Also Like

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

VETA yawafikia madereva ‘Boda boda’

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

JUMIKITA Yaiomba Serikali Mikopo Ya Fedha, Vifaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Fikeni kwa wakati CMA, mtatuliwe migogoro ya kikazi – Massawe
Next Article Aliyeachishwa kazi kulipwa miezi 12, stahiki nyingine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?