MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke
Habari

Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu
DAR ES SALAAM :  HOSPITALI Ya Rufaa ya Temeke imesema kuna ongezeko la  wagonjwa  wa magonjwa yasiyoambukiza kutoka 9566 mwaka 2022/23 na kufikia wagonjwa 11,175 sawa  na asilimia 14.4. Kwa mwaka 2023/24.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke
 Sixtus Mapunda  amesema hayo leo  alipomuwakilisha Waziri wa Afya Ummy Mwalimu kwenye hafla ya makabidhiano ya jengo la kutolea huduma za kusafisha damu katika Hospitali  hiyo.
Akizungumza, Mapunda  pia amewataka wahudumu wa afya Kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na magonjwa yasiyoambukiza huku jamii ikisisitizwa kuzingatia mtindo bora wa maisha .
Akitoa taarifa ya Hospitali hiyo Mganga Mkuu Dkt Joseph Kimaro amesema mwaka 2023/24 Hospitali ilipokea takribani wagonjwa 412 waliohitaji huduma za usafishaji damu ambao walipatiwa rufaa hivyo kuanzishwa kwa huduma hiyo kutasaidia kusogeza huduma hizo karibu na wananchi.
Kwa upande wake Mwakilishi  wa Mamlaka ya Bandari  TPA  Abeid Galus amesema TPA itaendelea kushiriki katika miradi mbalimbali ya kijamii ambapo kwa sasa imetoa Sh milioni 251.26 kwa ajili ya maboresho ya jengo hilo pamoja na vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh  Milioni 10.

You Might Also Like

Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025

Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo

Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga

Baraza La Mawaziri La SADC Lahitimisha Kikao Chake Jijini Antananarivo

Mabalozi Wa Utalii Waahidi Kuulinda Ushoroba Wa Kwakuchinja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo
Next Article Mpango wa Shule Salama Unaongeza ulinzi Kwa Watoto
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano
Habari June 18, 2026
June 18, 2026
Habari June 18, 2026
Magereza Yaomba Jamii Kuwapokea Wafungwa Wanaorejea Kutumikia Taifa
Habari June 18, 2026
TPHPA Yasisitiza Matumizi Sahihi ya Viuatilifu kwa Wakulima
Habari June 18, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?