MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Habari

Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi limemkamata na kumhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuhusu binti aliyefanyiwa vitendo vya udhalilishaji.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi, Muliro Jumanne amesema hay oleo Dar es Salaam na kuongeza kuwa taarifa hizo ni kuwa binti anayedaiwa kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwa kubakwa na kulawitiwa amekutwa amefariki suala ambalo sio kweli.

Amesema taarifa za binti huyo kufanyiwa vitendo hivyo zilitolewa mitandaoni hivi karibuni Agost 2024.

Kamanda Muliro amesema Jeshi hilo linatoa wito watu kujiepusha na kutoa au kuchapisha taarifa za uongo zenye malengo ya kuzusha taharuki katika jamii kwani kufanya hivyo ni makosa.

Amesema pia Jeshi hilo litaendelea kuzingatia maoni ya watu ambayo hayakinzani na sheria za nchi.

You Might Also Like

Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni

CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim

Serikali Yajizatiti Kukabiliana na Maafa – Majaliwa

Utafiti Wa Nguvu Kazi, Mapato Ya Kaya Kutoa Taswira Mpya Ya Maendeleo

TEA Kukarabati Jengo La Bodi Ya Maktaba Kwa Milioni 300

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkuu wa Mkoa akabidhi matrekta kwa wakulima kutoka Pass Leasing
Next Article Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?