MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo
Habari

Jeshi la polisi kumhoji anayesambaza taarifa za uongo

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi limemkamata na kumhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuhusu binti aliyefanyiwa vitendo vya udhalilishaji.

Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi, Muliro Jumanne amesema hay oleo Dar es Salaam na kuongeza kuwa taarifa hizo ni kuwa binti anayedaiwa kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwa kubakwa na kulawitiwa amekutwa amefariki suala ambalo sio kweli.

Amesema taarifa za binti huyo kufanyiwa vitendo hivyo zilitolewa mitandaoni hivi karibuni Agost 2024.

Kamanda Muliro amesema Jeshi hilo linatoa wito watu kujiepusha na kutoa au kuchapisha taarifa za uongo zenye malengo ya kuzusha taharuki katika jamii kwani kufanya hivyo ni makosa.

Amesema pia Jeshi hilo litaendelea kuzingatia maoni ya watu ambayo hayakinzani na sheria za nchi.

You Might Also Like

DCF Atembelea Banda Wizara Mambo YA Nje, Atoa Pongezi

Muhimbili yarejesha tabasamu kwa Karume baada ya miaka 25 ya mateso

Serikali Kuboresha , Kuweka Mazingira Wezeshi Kwa Vijana

WCF Yaleta Utulivu Mahala Pa Kazi – Katambi

Wadau wa Kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua msimu 2024/25

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkuu wa Mkoa akabidhi matrekta kwa wakulima kutoka Pass Leasing
Next Article Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?