MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Habari

Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

TUME ya Kurekebisha Sheria Tanzania imekuwa ikipokea maoni kutoka kwa wananchi kwa ajili ya kuboresha utendaji kazi wake ama uboreshaji wa sheria.

Katibu Mtendaji wa Tume hiyo George Mandepo amesema hayo kwenye Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea jijini Dodoma.

Amesema, ” Kazi ya Tume ni kufanya mapitio ya sheria zote zilizopo Tanzania na kupendekeza marekebisho serikalini katika maeneo ambayo tunabaini kuna upungufu au kuna mgongano au ukizani wa sheria,”.

Amesema katika kufanya hivyo huhusisha wadau wa sekta husika na wengine wanaoathirika na ile sheria ambayo inatungwq au kufanyiwa marekebisho.

” Katika kufanya kazi tume inaweza ikapendekeza marekebisho, ikapendekeza kufutwa kwa sheria lakini ikapendekeza labda kuboreshwa mifumo yetu ya usimamizi wa sheria ambazo zipo ndani ya serikali yetu,” amesema.

Amesisitiza kuwa tume inapofanya mapitio au marekebisho ya sheria inafanya utafiti wa kupitia sheria zilizopo kwa kuangalia mazingira ya sasa, mazingira yaliyosababisha kutungwa kwa sheria husika na mazingira yajayo.

“Kwa sababu sheria lazima iishi kama mwanadam inaongea, sheria ina matendo yote ambayo yanapeleka kuonekana sheria inatumika.

“Kwa hiyo tunaangalia pia uzoefu wa ndani ya nchi na wa nchi nyingine , lakini pia tunaangalia athari ambayo sheria husika inaweza ikaleta kiuchumi, kijamii na pia kisiasa,” amesema.

Amesema kama tume wanayaangalia hayo pamoja na kuwahususha wadau.

You Might Also Like

Spika Ahoji Mwongozo Wa Wanaojitolea Kazin

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia

OSHA Yatoa Gawio Kwa Serikali Zaidi  Ya Bilioni 10

TARI yapongezwa kwa kuwa na teknolojia bora za kilimo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge
Next Article TPHPA yafundisha namna sahihi ya utumiaji wa viuatilifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?