MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe
Habari

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: UJENZI wa madaraja ya mawe 275 nchini, ndani ya miaka saba umetumia takribani sh bilioni 10 , kiasi hicho cha fedha kikiwa ni kidogo, tofauti kama yangejengwa ya zege.
Mhandisi Mshauri kutoka Wakala wa Barabara ya Vijijini na Mijini ( Tarura), Phares Ngeleja ameeleza hayo katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea Nzuguni jijini Dodoma.
Ngeleja amesema, ” Kwa mfano tunajenga madaraja ya mawe ambayo gharama yake ni nafuu zaidi ukilinganisha na daraja la zege,”.
Amesema gharama ingekuwa kubwa na kufikia sh bilioni 50, kama wangejenga madaraja hayo kwa kutumia nondo na zege.
“Kwa hiyo utaona utofauti mkubwa ambao tumeweza kuokoa hela nyingi  sana ambazo zingeweza kutumika kwenye kazi nyingine.
Amesema njia hiyo ya kutumia mawe ni nafuu, hivyo TARURA imeona ili waweze kuifungua nchi kwa kipindi lifuoi hakuna budi kutumia teknolojia zinazotumia gharama nafuu.
Akizungumzia barabara amesema wanajenga kwa kutumia teknolojia mbalimbali  ikiwemo ya mawe ambayo wameitumia mikoa ya Mwanza,Kigoma. Rukwa na Morogoro.
Amesema kwenye barabara wanashirikiana na wadau mbalimbali katika ujenzi wa gharama nafuu.

You Might Also Like

Zimamoto Mbeya Watoa Elimu Ya Kukabiliana Na Majanga Ya Moto Kwenye Wiki Ya Vijana

eGA Yatengeneza  Mifumo  Kurahisisha  Kazi

Mapinduzi ya Elimu Geita: Wasichana Wamerudi Shule kwa Kasi

Wafanyabiashara 45 Wa Tanzania Wameanza Kutumia Soko La Eneo Huru La Afrika

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARURA yaimarisha ubora wa barabara kwa kuwa na maabara mikoani
Next Article Miradi ya Maendeleo Isimamiwe kwa Uadilifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?