MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa
Habari

DIT kudhibiti nzi wa maembe kisasa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM; MTEGO wa kisasa wa nzi wa maembe umebuniwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), wenye uwezo wa kupiga picha, kuzichakata, kutambua aina ya mdudu ikiwa ni pamoja na kuhesabu wadudu walionaswa.
  
Mhadhiri kutoka Idara ya Mawasiliano Angani DIT, Dkt. Mbazingwa Mkiramweni amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa habari hii.
Dkt. Mkiramweni amesema, “Mtego tulioutengeneza unakamata wadudu na kuwaua kama ambavyo sasa hivi wakulima wanatumia mtego wa makopo ya kawaida kwa kuweka dawa inayovutia nzi hao umbali wa mita 100 kutoka mtego ulipo.
“Kwa hiyo mtego wetu unapiga picha mara mbili kwa siku. Utapiga mchana na kuhesabu umekamata wadudu wangapi. Utapiga na jioni utahesabu vile vile.
” Kisha idadi iliyopatikana inatumwa kupitia teknolojia . Unaweza kuona taarifa hiyo popote ulipo kupitia simu au komputa ukiunganisha mtandao,” amesema.
Amesema teknolojia hiyo waliyoibuni inaweza kunyumbulisha na kuonyesha kwa siku wadudu wamepatikana wangapi, kwa wiki, kwa mwezi hata kwa mwaka.
Amesema wametafiti mtego huo kwa kuwa nzi hao wamekuwa wakiharibu maembe na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima na taifa.
Kwani wakulima hushindwa kufanya biashara ndani na nje ya nchi kwa sababu ya uharibifu unaofanywa na nzi hao.

You Might Also Like

Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika

SUA Yawafikia Wafugaji Wa Ng’ombe Wa Maziwa Kwa Tiba Mbadala Ya Homa Ya Kiwele

Watafiti Watumia Mbinu Mpya Kudhibiti Mdudu Kantangaze Kwenye Nyanya Bila Viuatilifu

Kadogosa: Serikali Yatenda Haki Kwa Wakulima, Wafugaji, Wananchi Wa Vijijini

Kanisa La GCC Kufanya Maombi Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article China yatoa elimu ya ujenzi kwa wanafunzi Baobab
Next Article Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani
Habari June 6, 2026
Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?