MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Habari

Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
ZANZIBAR: RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Tamasha la Kizimkazi, ambapo alipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba.
Rais, pamoja na kutembelea banda la NSSF, ametembelea mabanda ya taasisi mbalimbali na kujionea huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Katika ziara hiyo, Rais alifurahishwa na kazi inayofanywa na NSSF, hususan katika kuboresha huduma kwa wanachama wake.
Katika hatua nyingine, NSSF imeendelea kutekeleza wajibu wake kwa jamii katika maeneo ya elimu, afya, michezo, mahitaji maalum na kushirikiana na wadau wa maendeleo.
Habari Picha 13254
Katika Tamasha la Kizimkazi, Mfuko umetoa majiko janja aina ya 80L Electric Pressure Cooker kwa shule za sekondari.
 Majiko hayo yanatumia umeme kidogo, wastani wa ‘units’ mbili kwa saa nzima, ni salama na hujizima baada ya chakula kuiva.
Aidha, NSSF imeshiriki pamoja na wadau wengine wa maendeleo katika Kongamano la Nishati Safi lililofanyika Kizimkazi.
Utoaji wa majiko hayo na ushiriki wa NSSF katika Kongamano la Nishati Safi unaonesha dhamira ya Mfuko kuunga mkono Ajenda ya Kitaifa ya Nishati Safi ya Kupikia, inayolenga kuongeza matumizi ya nishati safi kwa ajili ya kuboresha afya, kulinda mazingira na kuchochea maendeleo endelevu.

You Might Also Like

‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA

Nyavu za Plastiki Zatishia Afya za Watumiaji wa Samaki Ziwa Victoria

Ushirikiano Wanataalum, Wanatasnia Kisekta Ni Muhimu Katika Maendeleo Kiuchumi

Dodoma Yang’ara Katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

FCC Yawavutia Wawekezaji Kwenye Maonesho Ya IATF Nchini Algeria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article   VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

  VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Habari August 13, 2026
Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo
Habari August 12, 2026
TARI Yafanya Majaribio Ya Viazi Mviringo Dodona
Habari August 11, 2026
Shilingi Milioni 28 Zilivyogeuza Wazo Kuwa Mashine Ya Shambani
Makala August 11, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?