MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Sabasaba 2026 Kuingiza Teknolojia Mpya na Fursa za Uwekezaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Sabasaba 2026 Kuingiza Teknolojia Mpya na Fursa za Uwekezaji
Habari

Sabasaba 2026 Kuingiza Teknolojia Mpya na Fursa za Uwekezaji

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yatakayofanyika kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026, yatakuwa ya kipekee kutokana na kuadhimisha Jubilei ya Miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kapinga amesema maonesho hayo yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji, ubunifu na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali.
Kaulimbiu ya mwaka huu 2026 ni “Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba: Bidhaa za Tanzania, Masoko ya Kimataifa,” inayolenga kuhamasisha wazalishaji wa ndani kupanua masoko ya bidhaa zao.
Amesema zaidi ya waoneshaji 3,000 kutoka mataifa zaidi ya 23 wanatarajiwa kushiriki, huku wageni zaidi ya 500,000 wakitarajiwa kutembelea maonesho hayo, ambayo pia yatazalisha maelfu ya ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.
Kapinga amesema Serikali imekamilisha maboresho katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, ikiwemo mabanda ya maonesho, huduma za maji na umeme, pamoja na matumizi ya teknolojia ya kidijitali. Mfumo wa kuwaongoza wageni kwenye mabanda na programu ya Biashara App utarahisisha ununuzi wa tiketi kwa njia ya mtandao na kupunguza foleni.
Ameongeza kuwa wananchi watapata fursa ya kuona teknolojia mpya, bidhaa za viwandani, ubunifu wa vijana na fursa za biashara na uwekezaji, sambamba na burudani na michezo ya watoto.
Amewakaribisha wafanyabiashara, wawekezaji, wajasiriamali na wananchi kushiriki maonesho hayo ya kihistoria na kunufaika na fursa mbalimbali za biashara na teknolojia.

You Might Also Like

Taasisi Za Serikali Zapewa Wiki Tano Kujiunga Na Mfumo

VETA Yaleta Mapinduzi ya Kilimo na Biashara Kupitia Bunifu –  Profesa Nombo

Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea

KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Benjamin Mkapa Yaanzisha Mfuko Kuchangia Wagonjwa Wa Upandikizaji Figo,Uloto Wasiokuwa Na Uwezo
Habari June 26, 2026
Huduma Ya Kupandikiza Uume Benjamin Mkapa Sh mil 10
Habari June 26, 2026
Waziri Sangu Awataka Waajiri Kutumia Fursa ya Msamaha wa Tozo wa NSSF
Habari June 26, 2026
PPRA Yahimiza Makundi Maalum Kunufaika na Zabuni za Serikali
Habari June 25, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?