MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi
Habari

CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Dkt. Suleiman Ikomba, amesisitiza kuwa walimu wanapaswa kuepuka kutekeleza majukumu yasiyo ya taaluma yao, ili kuepuka kupata matatizo bila kujua.
Kauli hiyo imekuja baada ya walimu 17 kushikiliwa na polisi Manispaa ya Mpanda, mkoani Katavi, kuhusiana na miradi ya ujenzi wa miundombinu ya shule.
Dkt. Ikomba amesema ni muhimu kazi zisizo za walimu ziwezikwe mikononi mwa wataalamu husika ili walimu waweze kuzingatia jukumu lao kuu la kufundisha na kuchangia katika ujenzi wa taifa kupitia elimu.
“Ni muhimu kazi hizi zikaachwa kwa wataalamu husika ili walimu waweze kuzingatia zaidi taaluma waliyoisomea,” amesema, akiongeza kuwa CWT tayari imekuwa ikishauri serikali kuwasaidia walimu kuepuka majukumu yenye changamoto.
Katibu wa CWT Mkoa wa Katavi, Luya Ngonyani, akimwakilisha Katibu wa CWT Wilaya ya Mpanda, Joseph Kihwele, amesema kati ya walimu waliokamatwa, sita walitoka Shule ya Sekondari Kasokola na sita kutoka Shule ya Sekondari Rungwa. Wengine ni maofisa wa elimu wa kata na manispaa.
Kihwele amefafanua kuwa Shule ya Sekondari Rungwa ilipokea fedha za ujenzi wa mabweni mawili yenye thamani ya Sh. Milioni 21, huku Shule ya Sekondari ya Wavulana Katavi ikipokea zaidi ya Sh. Bilioni 4.1.
Walimu waliokuwa wasimamizi wa miradi hiyo walitekeleza majukumu yao kwa kufuata taratibu na miongozo iliyopo, huku miradi ikifikia hatua ya boma kwa viwango vinavyokubalika.
Walimu waliokamatwa wameachiwa kwa dhamana

You Might Also Like

Chukueni Mkopo, Kwenye Taasisi Zilizopewa Leseni Na BOT

Dar es Salaam Kuunda Kamati Ya Kupitia Majengo Chakavu

TRA Kupambana Na Wakwepa Kodi Kupitia Bandari Bubu

VETA Mara Wabuni Mtambo Wa Kuchakata Maji Kwa Samaki Wanaofugwa

TARI Yanufaisha Wadau Wa Kilimo, Ugunduzi Wa Mbegu Bora Na Za Kisas

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yaanza Mikakati Ya Kukabiliana Na Wanyamapori Wakali, Waharibifu
Next Article Kanisa Laitaka Serikali Kuchukua Hatua Dhidi ya Rushwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi Yatoa Siku Saba Kwa Taasisi Kujisajili
Habari June 12, 2026
Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?