MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tafiti Nguzo Ya Maendeleo Ya Biashara, Uchumi – Katambi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tafiti Nguzo Ya Maendeleo Ya Biashara, Uchumi – Katambi
Habari

Tafiti Nguzo Ya Maendeleo Ya Biashara, Uchumi – Katambi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM:  NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amesema tafiti ni msingi muhimu wa maendeleo ya kiuchumi na kibiashara, akibainisha kuwa bila tafiti hakuna mafanikio ya kweli.
Amesema hayo wakati wa ziara yake katika Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) mkoani Dar es Salaam.
Katambi amesema tafiti husaidia kubaini maeneo yaliyokosewa na yaliyofanyika vizuri, pamoja na kufahamu nani alifanya nini na kwa wakati gani, jambo linalosaidia kufanya maboresho na maamuzi sahihi.
Ameeleza kuwa tafiti zinapaswa kuwa dira ya maamuzi ili kujifunza kutokana na makosa ya wengine na kuyaepuka, sambamba na kujifunza kutoka kwa nchi zilizoendelea na zinazoendelea.
Amehimiza umuhimu wa ukusanyaji wa taarifa za masoko ya ndani na nje ya nchi kama jukumu la msingi, pamoja na kuimarisha ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kulinda na kusimamia Muungano.
Aidha, amesema TanTrade ni taasisi muhimu katika kukuza uchumi wa taifa kwa kuongeza mapato, ajira na fursa za kibiashara kwa wafanyabiashara wa ngazi zote.
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Dkt. Latifa Khamis, amesema taasisi hiyo imefanya tafiti kwa biashara 334, hatua iliyosaidia kuboresha mazingira ya biashara.
Ameongeza kuwa TanTrade imeendesha kliniki za biashara kwa ajili ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara na imeanzisha nembo ya “Made in Tanzania” kwa lengo la kutambulisha na kulinda bidhaa za Tanzania.
Dkt. Khamis amesema hadi sasa bidhaa 30 zimeshasajiliwa chini ya nembo hiyo, na ifikapo Oktoba 2026, makampuni yote yanatakiwa kuanza kuitumia.
Ameeleza pia TanTrade inaendelea kutafuta fursa za biashara, kufanya tafiti za masoko, kutoa taarifa za masoko na bei, pamoja na kujenga uwezo wa wajasiriamali.

You Might Also Like

Ridhiwani, Mlao na wanachama wa CCM Kata ya Bwilingu wakinadi chama chao dakika za lala salama

TPHPA, KEM Wasaini Hati Ya Makubaliano Udhibiti Viuatilifu

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

Simbachawene: Simu za mkononi zinaondoa umakini kwa watumishi wa umma

Wakulima Wa Mahindi Mvomero Walia Na Viwavijeshi Vamizi, Watafiti SUA kupitia Mradi Wa AGRISPARK Kuokoa Jahazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS
Next Article Katambi Aitaka TIRDO Kuongoza Mapinduzi ya Kufufua Viwanda Nchini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?