MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia Amwonya Mwigulu Dhidi Ya Vishawishi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia Amwonya Mwigulu Dhidi Ya Vishawishi
Habari

Rais Samia Amwonya Mwigulu Dhidi Ya Vishawishi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Mkuu mpya wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, kuepuka vishawishi kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki, badala yake ajikite zaidi katika kuwatumikia Watanzania.
Samia ameyasema hayo, leo Novemba 14, 2025 muda mfupi baada ya kumuapisha Nchemba katika Ikulu ya Chamwino, Dodoma.
Habari Picha 10321
Amemtaka Mwigulu kusimamia kikamilifu utekelezaji wa ahadi walizowapa wananchi wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu.
“Kwa umri wako, mzigo huu ni mkubwa na vishawishi ni vingi kutoka kwa marafiki, ndugu, jamaa na wengine. Nafasi yako hii haina rafiki, haina ndugu, haina jamaa ni nafasi ya kulitumikia Taifa. Nakutakia kila la kheri katika utumishi wako,” amesema.
Rais Samia amesisitiza umuhimu wa kutumia muda uliopo kutekeleza ahadi za Serikali kwa wananchi.
Pia amemtaka kutumia uzoefu wake katika Wizara ya Fedha kusimamia vyema baraza la Mawaziri, pamoja na kuhakikisha kuwa Waziri wa Fedha anatimiza wajibu wake ili upatikane ufadhili wa kutekeleza miradi ya maendeleo.
Habari Picha 10322

You Might Also Like

Majaliwa: Elimu Ya Watu Wazima, Silaha Ya Mapinduzi Ya Maendeleo

Serikali Yaendesha Warsha Kujenga Ushirikiano Na washirika Wa Maendeleo  

Maofisa Habari Watoe Taarifa Sahihi Ziwafikie Wananchi

TUCTA Yakutana Na Mkuu Wa Mkoa Mbeya, Maandalizi Mei Mosi kitaifa 2025.

Rafiki Planter’Teknolojia Rahisi, Tija Kubwa”

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article ICGLR Yajipanga Kujiimarisha Amani Katika Kanda
Next Article Vijana Wahimizwa Kuweka Akiba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Wahitimishwa Pretoria
Habari March 13, 2026
Tanzania, Afrika Kusini Zakubaliana Kuharakisha Makubaliano ya Ushirikiano
Habari March 13, 2026
Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?