MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading:
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari >
Habari

Author
By Author
Share
3 Min Read
Mwandishi wetu.Babati
HATIMAYE tuzo ya Uhifadhi unaoshirikisha jamii, iliyoshinda  mwezi uliopita Taasisi ya Uhifadhi na Utalii ya Chem Chem Safaris, iliyopo eneo la hifadhi ya Jamii ya Wanyamapori ya Burunge, wilayani Babati Mkoa wa Manyara,imewasili nchini, serikali imepongeza.
Tuzo hiyo, imetolewa na Taasisi ya kimataifa African Travel and Tourism Association(ATTA) ya nchini Uingereza, ambayo ilishirikisha nchi mbali mbali duniani.
Tuzo hiyo baada ya kufikishwa nchini sasa inatarajiwa kufikishwa serikalini na wizara ya Maliasili na Utalii kama.sehemu ya kuunga mkono jitihada kubwa  za Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza utalii na Uhifadhi nchini, kufungua milango katika.sekta ya Utalii na uhifadhi,  kuhamasisha maelfu ya watalii kuja nchini.
Rais wa ATTA, Nigel Vere Nicoll,  ndiye alitangaza ushindi wa tuzo ikiwa ni sehemu ya vipengere vinane ambavyo vinatambulika na shirikisho la Utalii duniani vilivyokuwa vinashindaniwa.
“Baada ya majaji kupitia  sifa za kila taasisi na pia kupokea maoni kutoka kwa watalii waliotembelea maeneo hayo, Taasisi ya Chemchem ndio ilikuwa mshindi wa kwanza wa jumla wa tuzo ,hasa baada ya kuweza kushirikisha  jamii katika eneo la Burunge WMA katika uhifadhi na Utalii  na jamii kunufaika  “amesema
Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Meneja Mkuu wa Chem Chem, Clever Zulu alishukuru ATTA kwa kuwapa tuzo hiyo na kutambua mchango wa Chem Chem katika Uhifadhi.
Zulu amesema tuzo hiyo sio ya Chem Chem peke yake bali ni tuzo ya Serikali, Tuzo ya Burunge WMA, Tuzo ya Wananchi wote hususani wa wilaya ya Babati mkoa Manyara ambao wamekubali ardhi yao itumike kwa uhifadhi na Utalii na wanashiriki kuitunza.
Ofisa Wanyamapori mkoa Manyara, Felix Mwasenga amepongeza Chem Chem na Burunge WMA kwa ushindi wa tuzo hiyo,
Amesema serikali inatambua jitihada za uhifadhi ambazo zinafanywa na Chem Chem, hivi sasa zinatambuliwa kimataifa.
“Tutaipokea taarifa za tuzo hii na itafikisha kwa viongozi wetu wa mkoa kuonesha jinsi mkoa Manyara  unavyofanikiwa katika uhifadhi na Utalii.
“Tumeona ushindi huu na tunauthamini sana kwani utaongeza watalii kuja mkoa Manyara na hivyo kuongeza mapato ya serikali na wananchi”alisema
Kwa upande wake, Meneja wa hotel ya chemchem, Elizabeth Omboi amesema ushindi huo una maana kubwa kwao na utavutia watalii zaidi.

You Might Also Like

Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika

REA Yatoa Milioni 38.2 kwa ajili ya kufungwa mfumo wa nishati safi, Shule ya Samia

Wakulima Waomba Watafiti Wa  AGRISPAK, Kuwatafutia Mbinu Kukabili Nzi Weupe

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utaratibu Wa Manunuzi Ya Bando

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Komba: Mfumo wa kidijitali utaleta tija kwa mkulima
Next Article SIDO jengeni viwanda 20 Kila mkoa-Jafo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?