MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja
Habari

Wanazuoni Kujadili   Dira  Itakayojenga  Uchumi Unaofikia   Dola Trilioni Moja

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Lucy Lyatuu
SERIKALI inatarajia kuzindua dira itakayojenga uchumi utakaofikia dola takriban trilioni Moja katika miaka 25 ijayo.
Mkurugenzi Mtendaji Wa kituo Cha Ubia Kati ya sekta ya umma na binafsi(PPP) ,David Kafulila amesema hayo leo Dar ea Salaam wakati akizungumza kuanza kwa kongamano litakalojadili mwenendo Wa uchumi Kati ya sekta binafsi na ya umma kuelekea Tanzania ya 2050.
Kongamano hilo limeandaliwa na Kituo hicho kwa kushirikiana na Taasisi Ya Mpango Wa Utafiti Na Elimu Ya Demokrasia Tanzania (REDET) chini ya uratibu Wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM).
Amesema uchumi unaozungumziwa  katika dira hiyo ni umeweza kufikiwa na  nchi 19 peke yake ambapo ni muhimu kwa kuwa na kongamano hilo kwa ajili ya majadiliano zaidi.
Amesema kongamano hilo litafanyika kesho  Jumanne Mei 27, 2025 katika Ukumbi wa Maktaba ya Chuo cha UDSM  ambapo litakuwa ni kongamano la wazi watu  lenye kushirikisha wanazuoni mbalimbali kutoa maoni .
Amesema kituo Cha Ubia kina jukumu la kushirikisha umma kuhisu masuala  ya Ubia  kwa lengo la kujenga uelewa unaofanana kuhusu  kile ambacho serikali inafikiri na kile wananchi wanachofikiri.
Amesema hivyo Kituo kinawahibu Wa Kufanya umma uelewe masuala ya kisera,kisheria na mipango ya serikali kwenye maeneo hayo ya Ubia.
“Kwa kuona umuhimu ho ndioaana tumeshirikiana na REDET  ili kushirikisha umma na wanazuoni kuwa sehemubya fikra ili kuona mfanano Kati ya serikali na sekta binafsi,” amesema Kafulila.
 Amesema ni kongamano lenye kushirikisha wanazuoni na wataalam mbalimbali ili kuona mchango waoh kuelekea dira hiyo.
Kwa upande wake Mwenye kiti Wa REDET, Profesa Rwekaza Mkandala amesema mada kuu ni dola,masoko na uhamishaji Wa mitani.
Amesema katika mada hiyo itajadili nafasibya Ubia Kati ya sekta ya umma na binafsi kufikiwa malengo ya dira ya maendeleo ya Tanzania 2050.
Amesema wanatoka kuongeza ufahamu kuhusu sekta hizo na washiriki ni pamoja na wanazuoni,vyama vya siasa,Taasisi mbalimbali ili kudadavua na kuona kiwango cha uelewa .
Amesema mada mbalimbali zitatolewa ikiwa ni pamoja  dhana Ya PPP na nafasibyake kuelekea dira ya 2050,sekta ndogobya uchumi na nafasi ya  PPP katika kukuza uwekezaji na utawala bora.

You Might Also Like

TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya

Waziri Mkuu Majaliwa Kuongoza Harambee Ya Mei Mosi Kitaifa

Limeni mkonge unalipa – Maghali

Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne

Ridhiwani Aongoza Majadiliano Ya Taarifa Ya Utekelezaji Wa Majukumu PSSSF

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma
Next Article UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu
Habari May 28, 2025
Chalamila Atoa Wiki Mbili Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kufungua Njia Kariakoo
Habari May 28, 2025
Mtanda Akagua Maendeleo Ya Mradi YA Hoteli Ya Nyota Tano Ya NSSF
Habari May 27, 2025
UDSM  Kujenga Jengo La Kisasa La Bil 8.3
Habari May 27, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?