MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri
Habari

Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri

Author
By Author
Share
2 Min Read
Mkurugenzi Wa Confucius Awakumbusha Wanafunzi Kujali Muda
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimewataka wanafunzi wa Kitanzania waliokwenda China, kuiwakilisha Tanzania kwa mambo mazuri, kuitangaza na kuelezea fursa za kiuchumi zilizopo.
Rasi wa Ndaki ya Insia, chuoni hapo Dkt Silkiluwasha Mpale aliwaasa wanafunzi 19 kutoka shule mbalimbali ambao wamekwenda China kwa ajili ya msimu wa hali ya joto, kuwakilisha nchi vizuri kwa siku zote watakazokuwepo huko.
Amesema, “Tusingependa kusikia kuna aliyeonekana kwenye kamera kwa kufanya udokozi au vitendo vyovyote vibaya,”.
Amesema wanafunzi waliopata fursa hiyo ni wale ambao shule zao zinafundisha lugha ya kichina, waliagwa katika Ukumbi wa Taasisi ya kufundisha lugha ya Kichina ya Confucius UDSM.
Amewakumbusha wanafunzi hao kuwa hawaendi peke yao bali wanawakilisha Tanzania,wazazi wao na Afrika kwa ujumla.
Pia amewataka wazazi  wa wanafunzi hao, kuwaunga mkono watoto wanapotaka kusoma kichina kwani hata hao waliokwenda hawajaenda tu bali wameanza kujifunza kichina hivyo wanaenda huko kujifunza kwa kuona na vitendo.
“Nchi yetu ikiwa kwenye mageuzi ya elimu kwa kukazania zaidi masomo ya amali, hiki wanachoenda kujifunza watoto wetu huko China ndio kinamaanisha,
“Kwani enzi zetu kuna waliosoma kitabu cha ‘The great Wall of China’,lakini tuliishia kukiona kwenye vitabu na kuvuta picha kichwani tu, lakini leo hawa watoto wanaenda kuona kwa macho yao,” amesena.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Taasisi  ya Confucius upande wa China, Profesa Zhang Xiaozhen, amesema wanafunzi hao watakuwa nchini humo kwa wiki mbili.
Zhang amesema katika kipindi chote hicho watajifunza mambo mbalimbali ikiwemo lugha, tamaduni za kichina, shughuli mbalimbali zinazofanywa na nchi hiyo ikiwemo za kiuchumi   na kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii.
Amewataka wanafunzi hao kuzingatia ratiba ya kila wanachopangiwa.
Kwa niaba ya wanafunzi wenzake, Darren Samuel amesema wanashukuru kwa kupata nafasi hiyo kwa kuwa inawafungulia fursa nyingine katika maisha yao.
Amesema wakiwa nchini China watakuwa wawakilishi bora, kwa kuitambulisha vena Tanzania.

You Might Also Like

Mdemu Awataka Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kuchangamkia Mkopo

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Mbunifu Alilia Uwepo Wa Miongozo Kwa Wagunduzi

Rais Samia Awasili Mwanza Kilele Cha Mbio za Mwenge

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mfumo Wa KieletronikiWa Albino Kurahisisha Kuwatambua – Ridhiwani
Next Article Profesa Anangisye Atoa Neno Kwa Wahitimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?