MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 
Habari

Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WIZARA na Taasisi mbalimbalii zilizopo  nchini zimeagizwa kuitumia Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, zinapotaka  kufanya mapitio au utafiti wa Sheria zao.
Kwa kuwa kutofanya hivyo ni kukiuka Sheria na taratibu kwani Tume hiyo imeundwa kwa kazi hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Paramagamba Kabudi ametoa agizo hilo alipokuwa akipokea taarifa nane  za utafiti uliofanywa na Tume hiyo,katika mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Wizara hiyo.
Profesa Kabudi ametoa agizo hilo kutokana na ombi la Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Winifrada Korosso kueleza kuwa moja ya changamoto inayoikumba Tume hiyo ni baadhi ya Taasisi na Wizara kupeleka mapendekezo ya Sheria pasipo kupitishia kwenye Tume hiyo na kufanyiwa utafiti wa kina.
Akizungumzia hilo, Kabudi ameeleza hasara inayoweza  kuikumba serikali kwa  kupokea mapendekezo yasiyopitia kwenye Tume ya Kurekebisha Sheria kuwa yanasababisha Sheria hizo kutodumu kwa muda mrefu.
” Kwa bahati nzuri Mwanasheria Mkuu wa serikali upo hapa napenda ifahamike kwamba wizara  au Taasisi yeyote inayotaka kufanya maboresho au kutungwa kwa Sheria mpya ni lazima maboresho hayo yafanywe na Tume ya Kurekebisha Sheria kwa kuwa huko ndiko kwenye wabobevu,” amesema.
Amesema sio sawa kwa serikali kushughulikia msaada wa Sheria ambao utadumu kwa muda mfupi na  kuhitaji maboresho,, changamoto hiyo itaondoka endapo kila mmoja atafanya kazi yake.
Kwa upande mwingine ameipongeza tume hiyo  kwa kazi nzuri inayoifanya ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wizara yake
kutekeleza falsafa ya serikali.
Tume ya Kurekebisha Sheria ndio chombo chenye jukumu la kufanya mapitio na utafiti wa Sheria zote hapa nchini  ili kuzifanya ziishi kwa  muda mrefu.
.

You Might Also Like

Wafanyakazi Wakumbushwa Kujitokeza. Kwa Wingi Kupiga Kura

Ridhiwani Ateta na Viongozi wa Vijiji Lugoba, Chalinze 

Muswada Wa Marekebisho Ya Sheria Za Kazi 2024 Wapitishwa

Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mashimba: Tumieni Siku Zilizobaki Kujiandikisha
Next Article Ridhiwani Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kijijini Msoga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?