MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Habari

Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WAKILI Msomi Anthony Kanyama amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo jipya la Mtumba jijini Dodoma.
Kanyama amechukua fomu hiyo akiwa wa pili, baada ya aliyekuwa mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde kuchukua fomu ya kuomba kugombea ubunge katika jimbo hilo.
Mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba ridhaa hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Dodoma Mjini, Sophia Kibaba, Kanyama amesema amefanya uamuzi huo kwa mujibu wa katiba ya chama na serikali.

You Might Also Like

Balozi Sirro: Bila Amani, Maendeleo Hayapo Kigoma

Maabara Ya Mkemia Mkuu Yashauri Wajasiriamali Wa Kemikali

Wagombea Wa CCM Dodoma Mjini Waanza Kujinadi kwa Wajumbe

Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania

Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Next Article Massawe Achukua Fomu Kugombea Udiwani Goba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mavunde: Makaa ya Mawe Ni Injini ya Maendeleo ya Viwanda
Habari March 30, 2026
Programu Mpya ya TPHPA Yalenga Usalama wa Mazao Sokoni
Habari March 30, 2026
CHAKUHAWATA Yaimarisha Ulinzi wa Haki za Walimu, Yafikia Wanachama 49,750
Habari March 29, 2026
Upungufu wa Wataalamu wa Ustawi wa Jamii Wachangia Changamoto Kwenye Huduma za Jamii
Habari March 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?