MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA
Habari

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

“TUNATOA wito kwa wananchi wetu waweze kufika kwenye Ofisi zetu za Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), kwa wakati ili waweze kutatuliwa migogoro yao ya kikazi,”.

Ofisa Mfawidhi Dar es Salaam wa ÇMA, Yohana Massawe amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi, mkoani Dar es Salaam.

Massawe amesema pia wananchi wanapokuwa bado wako kazini wapeleke changamoto wanazokutana nazo , kwani wengine hawana mikataba ya ajira, wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria,

Wengine hawalipwi mishahara inayotakiwa kisheria, wengine wanapewa adhabu ambazo haziwastahili lakini wanakosa pa kupeleka changamoto zao.

“Idara ya Kazi pia ipo katika kuhakikisha kwamba viwango vya kazi vinasimamiwa kikamilifu, wafanyakazi na waajiri kila mmoja anafanya kazi yake kwa wakati wake katika viwango vinavyotakiwa kwa mujibu wa sheria,”amesema.

Amesema imani yake ni kwamba kila mmoja wakishirikiana mazingira ya kazi yatakuwa salama, yatakuwa ni mazingira bora.

You Might Also Like

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya Madini nchini

Mkutano Maalum wa CCM Kufanyika Kesho Mtandaoni

Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika

Majaliwa Ataka Yatolewe Mafunzo Yanayozingatia Soko La Ajira

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Fikeni kwa wakati CMA, mtatuliwe migogoro ya kikazi – Massawe
Next Article Aliyeachishwa kazi kulipwa miezi 12, stahiki nyingine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?