MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wabunge Sita Wateuliwa Na Rais
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wabunge Sita Wateuliwa Na Rais
Habari

Wabunge Sita Wateuliwa Na Rais

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

RAIS Dkt Samia Suluhu  Hassan kwa Mamlaka aliyonayo chini  ya Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba Ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 amewateua wafuatao kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa Ofisi Ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka walioteuliwa ni pamoja na Dkt Dorothy Gwajima, Balozi Mahmoud Thabit  Kombo, Balozi Dkt Bashiru Kakurwa, Abdullah Ali Mwinyi, Balozi Khamis Mussa Omar na Dkt Rhimo Simeon Nyansaho.

You Might Also Like

TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita

TPHPA ina mchango mkubwa utoshelevu wa chakula – Profesa Ndunguru

Mawaziri Tanzania Profesa Mkenda, Silaa Mkutanoni Rwanda

TUCTA Yapongezwa kwa Uwekezaji Mkubwa Arusha

Wataalam wa “Visit Finland” Wabadilishana Uzoefu Kutangaza Utalii Duniani 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Idadi Ya Wagonjwa Wa Magonjwa Yasiyoambukiza Kuongezeka
Next Article Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?