MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira
Habari

Uwekezaji wa TIB Wachangia Kuongezeka kwa Ajira

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
TANGA: BENKI ya Uwekezaji Tanzania (TIB) imeendelea kuwa mdau muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia ushirikiano wake na taasisi za serikali pamoja na sekta binafsi, hususan katika kuchochea ajira.
Akizungumza na waandishi wa habari katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea mkoani Tanga, Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Deogratius Kwiyukwa, alisema TIB imelenga kuchangia maendeleo ya jumla ya nchi kwa kuwekeza katika sekta za kimkakati.
Kwiyukwa alibainisha kuwa benki hiyo inatoa kipaumbele kwa sekta za viwanda, miundombinu, kilimo, ufugaji na uvuvi kama njia ya kuunga mkono juhudi za serikali za kuimarisha uchumi.
Alisema TIB ni mshirika mkubwa katika kukuza sekta ya viwanda, akieleza kuwa maendeleo ya viwanda yana mchango mkubwa katika kuongeza fursa za ajira nchini.
“Kwa kushirikiana na serikali na sekta binafsi, tunahakikisha mazingira yanayowezesha upatikanaji wa ajira zaidi kwa Watanzania yanaimarishwa,” alisema.
Aidha, alieleza kuwa ukuaji wa viwanda nchini utasaidia kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje, jambo litakalosaidia kuokoa fedha za kigeni.
“Fedha ambazo awali zilikuwa zinatumika kuagiza bidhaa nje ya nchi sasa zitabaki ndani na kuchangia zaidi katika maendeleo ya uchumi wa Taifa,” alisisitiza.

You Might Also Like

Chalamila: Serikali Imewekeza Kupatikana Wataalamu Wa Usingizi, Yapunguza Vifo Vinavyotokana Na Upasuaji

Uongozi OUT Waahidi Kuboresha Mazingira ya Kazi

TARI Yaleta Mapinduzi Kilimo cha Minazi

 Rais Samia aipongeza REA

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TIRA Yasisitiza Umuhimu wa Bima katika Kulinda Uchumi wa Taifa
Next Article BoT: Tumia Taasisi za Fedha Halali kwa Usalama wa Kifedha
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?