MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ukusanyaji Mapato Halmashauri Hauridhishi – Ndugange
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ukusanyaji Mapato Halmashauri Hauridhishi – Ndugange
Habari

Ukusanyaji Mapato Halmashauri Hauridhishi – Ndugange

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: UKUSANYAJI mapato katika Halmashauri hauridhishi hivyo zimeagizwa kuongeza juhudi katika ukusanyaji utokanao  na majengo, mabango na shughuli nyingine.
 Naibu Waziri wa  TAMISEMI Dkt.Festo Ndugange, amesema hayo alipokuwa akifunga Mkutano wa 39 wa  Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT)
 kwa niaba ya Waziri Mohammed Mchengerwa uliofanyika  katika ukumbi wa Mikutano Jakaya Kikwete Jijini  Dodoma .
Amesema, ” Halmashauri nyingi bado hazijafikia malengo ya ulusanyaji wa mapato kwani ni asilimia 38 tu zinazokusanywa  hivyo kufanya mapato kwenye halmashauri kushuka,”.
Amesema  wakati kodi za majengo na mabando zilipokuwa zikikusanywa na Serikali kuu yaani Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), halmashauri nyingi zilipiga kelele kwa kueleza kuwa hazina mapato lakini baada ya kodi hizo kurudishwa halmashauri bado ukusanyaji wake unasuasua.
Amesema kitendo cha halmashauri kushindwa kukusanya mapato na kushindwa kufikisha lengo ni kipimo tosha kwa mkurugenzi husika kuwa hatoshi katika nafasi hiyo.
Pia amesema katika ukusanyaji wa mapato na utafutaji wa vyanzo vipya vya mapato ni vizuri kuwashirikisha wananchi wa sehemu husika ili kuepukana na migogoro pale inapoonekana kuna sehemu mpya inayoweza kusababisha mapato mapya ya halmashauri.
Katika eneo lingine ambalo amesisitiza ni suala la afya na kutoa maelekezo kuwa kila kituo cha Afya, Zahanati na Hospitali ni lazima ziwe na dawa muhimu za binadamu ili kuondoa malalamiko kwa wateja wanaotaka huduma hiyo.
Kwa upande wa elimu amezitaka halmashauri zote kuhakikisha wanapambana na mdondoko wa wanafunzi na kusimamia kila mtoto mwenye sifa ya kwenda shule aende asiishie njiani.
Amesema kila mwanafunzi kuanzia ngazi ya chekechea hadi kidato cha kwanza mwenye sifa ya kuwa shuleni aende shuleni na asikomee njiani.
Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa ALAT Taifa ,Costanine Simma amesema kuwa maagizo yote yaliyotolewa yatatekelezwa na kufanyiwa kazi kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

You Might Also Like

Usafirishaji Shehena Waingiza Dola Bilioni 3.54

Matwebe Aipongeza Serikali Kushirikisha JUMIKITA  Kwenye Shughuli Za Kitaifa

Wadau wa uchukuzi zingatieni maslahi ya wafanyakazi

Rais Mwinyi Azindua Ripoti ya Jiolojia, Utafiti Madini zanzibar

Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Washauriwa Kutumia Mbegu Zinazokabiliana Na Mabadiliko Ya Tabia Nchi
Next Article Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?