MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria
Habari

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Mwandishi Wetu

DAR ES SALAAM: WANANCHI wanaoishi Mikoa ya Pwani na Dar es Salaam, wameiomba serikali kutatua changamoto ya usafiri inayowakabili katika kituo kilichopo Bunju Sokoni Dar es Salaam.

Kwa muda mrefu sasa wananchi wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea Bunju Sokoni wamekuwa hawana uhakika wa usafiri majira ya asubuhi wala kituo rasmi cha kupandia daladala kutokana na madereva kugomea kituo cha Bunju Sokoni kwa ajili ya kuharibika kipindi cha mvua.

Mwandishi wa habari hii mara kadhaa amekuwa akishuhudia kadhia wanayoipata wananchi katika kituo hicho ikiwemo ya daladala kufika na kulipa ushuru inayopokelewa na Halmashauri ya Kinondoni, kisha kuondoka bila kuchukua abiria.

“Kiukweli kituo hiki bora kisingekuwepo maana wananchi tumetelekezwa na serikali, lakini daladala zinazopaswa kutubeba kwa kuwa zinapotoa ushuru huondoka bila kutuchukua japo zipo baadhi zinazobeba abiria,” amesema mmoja ya abiria.

 

Abiria aliyejitambulisha kwa jina la Robson John amesema kilichopo hapo kwa sasa ni tabia ya baadhi ya daladala kuingia nje ya kituo hicho na  kulipia uchuru kisha kuondoka bila kubeba abiria jambo ambalo limedumu kwa muda mrefu sasa bila kupatiwa ufumbuzi..

Amesema kilichotokea jana asubuhi ni kwam ba abiria walitoa malalamiko yao kwa ofisi inayotoza ushuru wa daladala hizo kwa kuitaja daladala yenye namba ya usajili. T 703 DKY Inayofanya safari zake Bunju Sokoni na Makumbusho kuwa ni kawaida yake kukataa abiria katika kitua cha Bunju Sokoni kila asubuhi kwa kisingizio kuwa ni bovu.

Mbali na changamoto hiyo ya asubuhi, inapofika jioni abiria hao hao hupata shida ya kulipa nauli mara mbili kwani daladala huishia kituo cha Bunju B badala ya kuishia Bunju Sokoni.

“Tatizo hili la kukatiza njia limekuwa sugu kwa barabara hii ya Bagamoyo,” amesema abiria mwingine.

Mvua za masika zilizonyesha kwa wingi mwaka huu, zilisababisha madereva wa daladala kukimbia kituo hicho na kila mmoja kushusha au kupakiza abiria sehemu yoyote wanaojisikia wao hali inayochangia usumbufu mkubwa kwa abiria.

Kwa upande wa Magari yanayoelekea Bagamoyo yametoka nje ya kituo na kushusha na kupakiza abiria karibu na barabara ya Bagamoyo.

Magari hayo ya Bagamoyo yanakutana na changamoto ya kuwakosa abiria kutokana na mkanganyiko huo uliopo, katika hili serikali inapaswa kuchukua hatua stahiki.

 

Mwandishi wa habari hii aliwasiliana na  Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini katika halmashauri hiyo, Aquilinus Shiduki ambaye amesema Manispaa ya Kinondoni ipo kwenye mpango wa kuboresha hicho kituo, kwani wanazifahamu changamoto zinazowakumba abiria.

 

 

 

You Might Also Like

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

TARI Yawapa Elimu Wakulima, Maofisa Ugani 165 Kilimo Cha Matunda

Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza

WDC Kuboresha Miradi Yake Ya Majengo

Wajadili uendelezaji mazao ya utalii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Kikwete aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali,  apokea vifaa tiba na madawati kutoka NMB
Next Article Ridhiwani Kikwete Akagua Maandalizi ya Kilele Mbio za Mwenge Jijini Mwanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?