MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo
Habari

Tunatatua Malalamiko Ya Wateja – Kaguo

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “UNAWEZA kuunguliwa nyumba usiridhike, unakuja EWURA. Unaweza kujaziwa mafuta machafu, unakuja EWURA. Unaweza kujaza mafuta ambayo bei sio ile iliyotolewa na EWURA, unakuja kulalamika. Utafidiwa kutokana na kile kilichotokea, inategemeana,”.
Meneja Mawasiliano na Uhusiano kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo amesema hayo wakati wa Mafunzo ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji kwa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania ( JOWUTA).
Kaguo amesema EWURA ni taasisi inayoweza kubadilika na kufanya maamuzi ya kimahakama.
” Tunaposhughulikia malalamiko, tunabadilika na kuwa mahakama,” amesema Kaguo.
Amesema mamlaka hiyo inatatua malalamiko na kufika hadi mwisho, kwa kusimamia sheria, taratibu na kanuni.

You Might Also Like

Dkt. Adesina Wa AfD Avutiwa Na Mwenendo Uchumi Wa Tanzania

PSSSF Yaanza Kulipa Mafao Kwa Kikokotoo  Kipya Kilichoboreshwa – Ridhiwani

Mtoto Wa Miaka Sita Ashinda Ashindano Ya Kuhifadhi Quraan Mkoa Arusha

Wahamasika Kutumia Mbegu Bora Za Karanga Zilizofanyiwa Utafiti Na TARI

Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu
Next Article Kaguo Ataja Mbinu Mpya Ukwepaji Kodi Kwenye Mafuta
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?