MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura
Habari

TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Kibaha 
PWANI: CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimewataka wafanyakazi kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu 2025 kwa kuchagua viongozi watakaolinda na kusimamia maslahi yao.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), ambaye pia ni Katibu Mkuu wa TUGHE, Hery Mkunda ametoa rai hiyo katika kikao kazi cha wenyeviti na makatibu wa matawi ya TUGHE mkoa wa Dar es Salaam.
Habari Picha 10126
Mkunda amesema kushiriki uchaguzi ni wajibu wa kikatiba unaopaswa kutumika kwa busara.
“Siku ya uchaguzi tujitokeze kwa wingi, kwa sababu ni haki yetu ya kikatiba. Tuchague viongozi wanaojali maslahi ya wafanyakazi,” amesema.
Habari Picha 10127
Pia ameishukuru Serikali kwa hatua mbalimbali za kuboresha maslahi ya watumishi, ikiwemo kurejesha upandishwaji wa vyeo, kuongeza kima cha chini cha mshahara, na kuongeza siku za likizo kwa wazazi wanaojifungua watoto njiti.
Mkunda pia amewakumbusha viongozi wa matawi kufuata matakwa ya katiba ya chama kwa kufanya vikao vya tawi kama inavyotakiwa, akisema baadhi ya matawi yamekuwa hayatekelezi wajibu huo na hivyo kuwanyima wanachama fursa ya kushiriki maamuzi.
Habari Picha 10128
Awali, Mwenyekiti wa TUGHE mkoa wa Dar es Salaam, Brendan Maro, amemshukuru Mkunda kwa kufungua kikao kazi hicho, ambacho kinalenga kubadilishana uzoefu na kuimarisha uongozi wa chama katika maeneo ya kazi.
Habari Picha 10129
Habari Picha 10130
Habari Picha 10131

You Might Also Like

BRT Kuimarisha Uhusiano Tanzania, China

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

Waziri Mkuu Majaliwa Akoshwa Na Tafiti Ya Mhitimu OUT

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwalim Ahaidi Kubadilisha Dodoma Kuwa Jiji Kamili La Makao Makuu
Next Article Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?