MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TTCL Yafanya Maboresho Makubwa Kwa Watumiaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TTCL Yafanya Maboresho Makubwa Kwa Watumiaji
Habari

TTCL Yafanya Maboresho Makubwa Kwa Watumiaji

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania TTCL limefanya maboresho makubwa kwa watumiaji wa simu za mkononi kwa kufanya watanzania wote Bara na Zanzibar kupata huduma mahali popote walipo bila vikwazo vyovyote.

Maboresho hayo ni Pamoja na  ukomo wa matumizi ya vifurushi pamoja na kiwango cha fedha ikiwa ni kuwapa fursa ya kuwasiliana kuelekea msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka.

Akizungumza na waandishi wa habari  Dar es Salaam Mkurugenzi wa Biashara wa  TTCL Vedastus Wambura amesema Mawasiliano ni chachu kubwa ya biashara mtandaoni ambayo inahitaji kutumia huduma hiyo kwa gharama nafuu pamoja na kupata vifurushi ambavyo vitatumika mpaka mwisho badala ya kupewa muda maalum wa matumizi.

Amesema katika kuhakikisha watanzania wanapata huduma hizo TTCL imekuja na kampeni ya Walete Nyumbani mambo ni moto ikilenga zaidi kuwaleta watanzania kutumia hudum za TTCL katika  maeneo makuu matatu.

Kampeni hiyo inaongozwa na Balozi Clayton Chipando maarufu kama babalevo.

Ameyataja maeneo yatakayoguswa na kampeni hiyo   kuwa ni huduma za data, kurahisisha na.kuboresha huduma za sauti na kupata muda wa maongezi bila kuwa na kikwazo cha muda wa matumizi na pesa.

Amesema  Mawasiliano ni chachu kwenye biashara na kwamba kampeni hiyo umekuja kuondoa vikwazo  mbalimbali vya vifurusgi vya Mawasiliano.

Amesema kupitia kampeni ya Walete itakuwa na kifurushi Cha bufee Tena kitakachoqezesha mtu yoyote mwenye kifurushi chochote kutengeneza kifurushi anachotaka.

” Hapa ina maana kuwa iwapo mtu ana shilingi mbili kwenye simu yake anaweza kupata data kulingana na kiwango alicho nacho kwenye simu,’ amesema na kuongeza pia kitaondoa kikwazo Cha kwamba lazima kuwa na kiwango Fulani Kwa simu ndipo uweze kujiunga.

Amesema eneo lingine litakaloguswa na kampeni ni kuwa na kifurushi Cha Jiachie extra ambacho ni Cha sauti na ujumbe mfupi pekee.

” Ukishajiunga mpaka fedha yako kwenye vifurusgi itakapokwisha sio kwamba baada ya saa fulani kinakata,” amesema.

Kadhalika amesema eneo lingine ni kuwepo kwa kifurushi Cha T Connect Plus kinachowahusu watumia data pekee.

Amesema kifurushi hicho ni Kwa ajili ya wenye simu janja zenye kutumia data ambapo itasaidia Watanzania kuondoka kwenye changamoto ya namna ya kumaliza fedha za kifurushi alichojiunga nacho lakini pia  kupata huduma Bora zaidi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi

Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa

Waziri Mkuu Majaliwa Amwakilisha Dkt.Mpango Mahafali Ya 43 OUT

Askari Wawili wa JWTZ Wafariki, Wanne Wajeruhiwa DRC

Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mkakati Wa Utekelezaji Wa Sera Ya Malikale Lango La Fursa Za Utalii
Next Article Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?