MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa
Habari

TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema litaendelea kuboresha mifumo yao kwa kutumia teknolojia za kisasa na kuongeza thamani katika huduma wanazotoa kila siku.

Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa TTCL Humphrey Ngowi amesema  hay oleo Dar es salaam wakati akizungumza katika hafla ya kufunga Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa mwaka 2025.

Amesema kwa miaka mingi TTCL imeendelea kuwa nguzo ya mawasiliano nchini kwa kutoa huduma muhimu zinazowaunganisha Watanzania mijini na vijijini.

“Shirika linatambua kuwa dunia ya sasa inabadilika kwa kasi, na tunaona ipo haja ya kuendelea kuboresha huduma zetu kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora, za kuaminika na zenye ubora wa hali ya juu,” amesema Ngowi.

Amefafanua kuwa, kwa mwaka huu TTCL imefanya maboresho makubwa kupitia miradi ya kimkakati ikiwemo kupanua huduma vijijini na mijini, kuendeleza upanuzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, pamoja na kusimamia ujenzi wa minara mipya ya mawasiliano nchini.

Habari Picha 9896

 

Kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, Ngowi amesema wiki hiyo imeacha alama ya kudumu ndani ya shirika hilo kwa kuwa imekuwa fursa ya kukusanya mrejesho kutoka kwa wateja, kutambua mapungufu na kuandaa maboresho yanayolenga kukidhi mahitaji ya wananchi.

“Mafanikio tuliyoyapata tusingeweza kuyafikia bila ushirikiano wa wateja wetu. Ndio sababu kuu ya sisi kuwepo, na kupitia kwao tunathibitisha kuwa Mission Possible sio kaulimbiu tu, bali ni uhalisia tunaouishi kila siku,” amesisitiza Ngowi.

Ameahidi kuwa TTCL itaendelea kusikiliza maoni ya wateja na kuyafanyia kazi ili kuhakikisha kila mmoja anapata thamani stahiki ya huduma anayostahili.

Hata hivyo katika kufunga wiki hiyo amewashukuru  wateja wao kwa michango na juhudi zao katika Nyanja mbalimbali.

Habari Picha 9897

 

“Tukiwa na kaulimbiu ya Mission Possible, naamini tutafanikisha mambo makubwa zaidi katika siku zijazo,” amesema Ngowi.

 

You Might Also Like

Wahamasika Kutumia Mbegu Bora Za Karanga Zilizofanyiwa Utafiti Na TARI

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

Serikali imejipanga Mkakati wa Taifa wa Matumìzi ya nishati safi ya kupikia – Mramba

Serikali Inatoa Kipaumbele Kufikisha Umeme Taasis Zinazotoa Huduma Kwa Jamii- Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CHAUMMA Kuja Na Mpango Wa Masoko Ya Kisasa Dar es Salaam
Next Article TUCTA: Vijana Ni Nguvu Kazi Ya Taifa, Watumie Fursa Kujijenga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?