MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRC, Wananchi Burundi Wakutana Utekelezaji Mradi wa SGR
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRC, Wananchi Burundi Wakutana Utekelezaji Mradi wa SGR
Habari

TRC, Wananchi Burundi Wakutana Utekelezaji Mradi wa SGR

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Mwandishi Wetu

BURUNDI: Kutokana na kutiwa Saini utekelezaji wa Mradi wa SGR awamu ya pili, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limefanya ziara nchini Burundi kwa ajili ya kukutana na wadau mbalimbali.

Utiwaji Saini huo awamu ya pili ya  kipande cha saba kutoka Uvinza Tanzania na  kipande cha nane kutoka Malagarasi – Msongati, Burundi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu nchini Burundi, Nijimbere Egide ameeleza ziara hiyo imefanywa katika mikoa ambayo mradi wa SGR unatarajiwa kupita ikiwemo Mkoa wa Makamba na Rutana, ameihakikishia TRC kwamba wananchi wako tayari kutoa maeneo yatakayohitajika ili  kurahisisha ujenzi.

“Nawahakikishia kwamba sheria ya Burundi, iko vizuri katika utwaaji ardhi ya wananchi na wao wako tayari kwa asilimia 100,” amesema.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalamu wa Mradi wa SGR kipande cha saba na nane, Benjamin Mbimbi amesema wananchi nchini Burundi watanufaika katika mambo mbalimbali ikiwemo miji kukua kibiashara kutokana na wageni watakao ingia na kutoka, kujengwa kwa shule, hospitali katika maeneo yaliyopitiwa na mradi pamoja na fursa mbalimbali za ajira katika maeneo hayo.

“Mradi unapokuja katika nchi, ni jukumu la wananchi kuchangamkia fursa za uwekezaji ikiwemo sekta ya  hoteli  na huduma nyingine za kijamii,” amesema.

Kwa upande mwingine, Mkurugenzi wa miundombinu kutoka TRC Machibya Masanja amesema  mantiki ya mradi  huo ni kuunganisha mgodi wa Msongati na Bandari ya Dar es Salaam, pia kuweka mtangamano wa kibiashara kati ya nchi ya Burundi na Tanzania.

“Tanzania tunawapa huduma wenzetu ambao hawana bahari waweze kutoa bidhaa kutoka kwenye masoko yao kama mgodi wa msongati kuelekea masoko ya nchi za Ulaya na nchi nyingine,” amesema.

Amesema gharama za uwekezaji wa mradi huo unagharimu  dola za kimarekani bilioni 2.154 ambapo utekelezaji wa mradi huo utachukua miezi 72, miezi 60 ya ujenzi wa reli ikijumuisha miezi 12 ya uangalizi.

“Kipande ni kifupi lakini kutokana na sababu za kijografia nchi ya Burundi kuwa na milima mingi hivyo inahitaji mahandaki na madaraja makubwa,” amesema.

Mkataba wa Mradi huo ulisainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, Januari 29 mwaka huu 2025, Stesheni ya Magufuli Jijini Dae es Salaam,

You Might Also Like

Rafiki Mkubwa wa Trump, Elon Musk atanufaika vipi baada ya kumuunga mkono?  

Tafiti Katika Afya Nyenzo Muhimu

COSTECH Yasaini Mkataba Ujenzi Jengo La Sayansi, Teknolojia, Ubunifu

Waziri Mkuu Majaliwa aitaka uchukuzi lusimamia kwa karibu TRC

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Kikwete Kuzindua Miradi ya Maendeleo Songwe
Next Article Miradi 10 Ya Kimkakati TPA Kuinua Uchumi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?