MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRAWU Yazindua KAMPENI ya Afya Na Usalama Mahali Pa Kazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRAWU Yazindua KAMPENI ya Afya Na Usalama Mahali Pa Kazi
Habari

TRAWU Yazindua KAMPENI ya Afya Na Usalama Mahali Pa Kazi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU) kimezindua kampeni ya Afya na Usalama Mahala Pa Kazi itakayowafikia wafanyakazi wao katika maeneo yanayofika reli ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA).
TRAWU imezindua kampeni hiyo kwa kushirikiana na Wakala wa Afya na Usalama Mahala pa Kazi (OSHA) pamoja na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi ( WCF),
Naibu Katibu Mkuu wa TRAWU, Edo Makatta amesema kwamba wameshazindua kampeni hiyo upande wa TAZARA ambapo semina ya kwanza imefanyika mkoani Dar es Salaam mwezi huu, ambapo OSHA na WCF ndio wwaliotoa mafunzo hayo.
Amesema kampeni hiyo ni chachu ya kuwaunganisha wafanyakazi kuwa na mshikamano na umoja katika kusimamia ki na masslahi y wafanyakazi.
“Hii ni kampeni maalum na endelevu ambapo tunataraji wafanyakazi waliopo Mashirika ya Reli nchini yaani TAZARA na TRC na nilisema TRC namaanisha ndani wamo SGR. Hivyo kuridhia kwa OSHA na WCF  kumetusaidia sana kupunguza gharama za kulipa wawezeshaji ambazo zimebebwa na taasisi husika. Tunatumia nafasi hii kuzushukuru Taasisi hizi kuridhia kufanya kazi na TRAWU. Huu ni mwanzo mzuri na tunaamini tutafanyia nao kazi maeneo mengi.
“‘Semina hizi zitawafungua wafanyakazi juu ya haki zao za kimsingi kuhusu nini OSHA wanawajibika kwa wafanyakazi na nini WCF unahudumia wafanyakazi. Mambo ni mengi wameanza kuelimishwa juu ya Haki zao na ni Imani Elimu hii itasambaa,” amesema.

You Might Also Like

Mkenda: Tunahitaji Ushirikiano Baina Ya Viwanda Na Wazalishaji

Vijana Ni Chachu Ya Maendeleo Endelevu Wakiwezeshwa-Kikwete

Rais Samia Amehakikisha Elimu Ya Ufundi Stadi Inafikia Vijana Wote – Mkenda

LATRA CCC Yatoa Angalizo Uhitaji Mkubwa Wa Wasafiri Mwisho Wa Mwaka

TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo
Next Article Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?