MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TMA yatoa mwelekeo mvua za vuli 2024
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TMA yatoa mwelekeo mvua za vuli 2024
Habari

TMA yatoa mwelekeo mvua za vuli 2024

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

MVUA za vuli 2024 zinatarajiwa kuanza wiki ya nne ya Septemba katika ukanda wa Ziwa Victoria na kusambaa katika maeneo mengine katika wiki ya kwanza na ya pili ya Oktoba.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Ladislaus Chang’a amesema hayo Mkoani Dar es Salaam, alipokuwa akitoa mwelekeo wa Mvua za Vuli Oktoba hadi Disemba, 2024.
Dkt. Chang’a amesema mvua hizo zinatarajiwa kuongezeka kidogo kidogo Disemba mwaka huu.
Ameelezea athari zinazotarajiwa kutokea, ni pamoja na upungufu wa unyevunyevu katika udongo unatarajiwa kujitokeza katika maeneo mengi, hivyo kuathiri shughuli za kilimo.
“Kina cha maji katika mito na mabwawa vinatarajiwa kupungua. Kujitokeza kwa magonjwa ya mlipuko, kutokana na upungufu wa maji safi na salama.
“Vipindi vya joto kali kuliko kawaida vinatarajiwa katika msimu wa vuli. Uwepo wa La-Nina hafifu unatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika mvua za msimu wa vuli mwaka huu,” amesema.
Awali amesema mvua hizo zinatarajiwa kuwa za chini ya wastani hadi wastani katika maeneo mengi na zinatarajiwa kuanza kwa kusuasasua na kutawaliwa na vipindi virefu vya ukavu na mtawanyiko wa mvua usioridhisha.
Mvua hizo ni mahususi kwa maeneo ya Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki ambako ni mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro.
Pia Pwani ya Kaskazini, Kaskazini mwa mkoa wa Morogoro, Mikoa ya Pwani ikijumuisha Visiwa vya Mafia, Dar es Salaam, Tanga na Visiwa vya Unguja na
Pemba.
Ukanda wa Ziwa Victoria ambako ni mikoa yaKagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Siiyu na Mara, pamoja na Kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma.

You Might Also Like

TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi

Ridhiwani: Maandalizi Mei Mosi  Yafikia Asilimia 88

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

Kilimo Shadidi Kinapunguza Uzalishaji Wa Gesi

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia aweka Jiwe la Msingi kwenye mradi wa Suluhu Sports Academy
Next Article Vyuo vya Kilimo vishirikishwe mradi wa BBT
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?