MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TFS Yawataka Wananchi Kufuga Nyuki Kuzuia Uharibifu Wa Mazingira
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TFS Yawataka Wananchi Kufuga Nyuki Kuzuia Uharibifu Wa Mazingira
Habari

TFS Yawataka Wananchi Kufuga Nyuki Kuzuia Uharibifu Wa Mazingira

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi

Dar es Salaam: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali za matumizi bora ya nishati safi, kwa kutoa elimu ya ufugaji nyuki ambayo itamwezesha mwananchi kupata kipato kizuri bila uchafuzi wa mazingira.

Aidha katika jitihada hizo za kudhibiti uharibifu wa misitu, wakala huo imepandisha hadhi baadhi ya misitu na kuwa Hifadhi za Mazingira Asilia, ambako kunafanyika shughuli za utafiti na utalii ambao unawezesha TFS kupata fedha.

Mhifadhi Mkuu TFS Kassim Ally amesema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Televisheni moja hapa nchini.

Amesema mtu anapofuga nyuki faida yake inapatikana kwenye asali ambayo inamwezesha kupata kati ya sh 10,000 na 15,000 kwa  kilo moja.

Ally amesema mwananchi anapoharibu msitu mkoa mojawapo anaathiri nchi nzima sio mkoa huo pekee, hivyo TFS inafanya jitihada mbalimbali kuhakikisha elimu ya uharibifu wa mazingira na utumiaji wa nishati safi inawafikia watanzania.

Amesema japokuwa mkoa wa Dar es Salaam una nishati ya gesi na umeme, unaoongoza kwa utumiaji wa kuni.

“Dar es Salaam ndio unatumika sana mkaa, magunia zaidi ya 500,000 yanaingia kila mwezi, amesema na kuongeza kuwa watu wamekuwa wakitumia kuni na mkaa kimazoea tu,” amesema.

Amesema kwa kijijini mkaa na kuni ndio unaowaingizia kipato hivyo wanaendelea kutoa elimu iweze kuwafikia.

Amesema watu wanaangusha miti tani 10 hadi 12 wanapotengeneza mkaa huata tani moja pekee.

You Might Also Like

Madereva Mabasi YA Kukodi Waitwa LATRA Kabla YA Januari 12, Mwaka Huu

Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika

Shemdoe apongeza

DKT. Biteko Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia Zanzibar

Majaliwa ataka kuondolewe vikwazo vya rufaa za matibabu Afrika Mashariki

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt.Mpango ataka Afrika kuunganisha nguvu uendelezaji wa Jotoardhi
Next Article Wadau wa Kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua msimu 2024/25
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?