MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Habari

TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania ( TFS), imesema  inazalisha mazao bora ya nyuki na kuwataka wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya hifadhi kushiriki katika shughuli za ufugaji nyuki badala ya kuendeleza ukataji miti holela.
Mhifadhi kutoka Shamba la Miti Silayo TFS , Juma Mdoe amesema hayo katika maonesho ya nane ya sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya Mama Samia Suluhu Hassan, Bombambili mkoani Geita,
Habari Picha 9649
“Tunawahamasisha wananchi na wadau kuwekeza katika ufugaji nyuki kwa kuwa ni shughuli endelevu inayoongeza kipato bila kuharibu mazingira.
“Pia kuna fursa za utalii na michezo ya kimazingira kama mbio za nyika katika Shamba la Miti Silayo na Rubare,” amesema.
Habari Picha 9650
TFS, kupitia vitengo vyake ikiwemo Kituo cha Mbegu za Miti Morogoro na mashamba ya miti kama Silayo, inabaki mstari wa mbele katika kutoa elimu na kuhamasisha matumizi bora ya rasilimali misitu nchini.
Habari Picha 9651

You Might Also Like

LHRC Kushirikiana  Na JOWUTA Kuwajengea Uwezo Wanahabari Katika Masuala Ya Haki Zao Na Sheria Za Kazi

Uteuzi: Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, Siwa amestaafu

BoT Yawaalika Wachimbaji Kuwekeza Serikalini, Yatoa Elimu ya Fedha

Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba

Tuwaombe Rais Samia, Mwinyi – Sheikh Swed

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Epukeni Mikopo Inayowafilisi,Tumieni Taasisi Zinazotambulika Na BOT – Mkuu Wa Wilaya Komba
Next Article NIC Yaimarisha Uhusiano na Wateja Maonesho ya Teknolojia ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?