MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Habari

TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania ( TFS), imesema  inazalisha mazao bora ya nyuki na kuwataka wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya hifadhi kushiriki katika shughuli za ufugaji nyuki badala ya kuendeleza ukataji miti holela.
Mhifadhi kutoka Shamba la Miti Silayo TFS , Juma Mdoe amesema hayo katika maonesho ya nane ya sekta ya Madini yanayofanyika katika Viwanja vya Mama Samia Suluhu Hassan, Bombambili mkoani Geita,
Habari Picha 9649
“Tunawahamasisha wananchi na wadau kuwekeza katika ufugaji nyuki kwa kuwa ni shughuli endelevu inayoongeza kipato bila kuharibu mazingira.
“Pia kuna fursa za utalii na michezo ya kimazingira kama mbio za nyika katika Shamba la Miti Silayo na Rubare,” amesema.
Habari Picha 9650
TFS, kupitia vitengo vyake ikiwemo Kituo cha Mbegu za Miti Morogoro na mashamba ya miti kama Silayo, inabaki mstari wa mbele katika kutoa elimu na kuhamasisha matumizi bora ya rasilimali misitu nchini.
Habari Picha 9651

You Might Also Like

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Soko La Kisasa La Nyamachoma Lazinduliwa Vingunguti

Vumbi la Nyuki Lapewa Uzito Singida: Latajwa Tiba ya Asili Yenye Virutubisho 99

WCF yapongezwa kwa Ithibati ya ISO, utoaji wa huduma kwa viwango vya kimataifa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Epukeni Mikopo Inayowafilisi,Tumieni Taasisi Zinazotambulika Na BOT – Mkuu Wa Wilaya Komba
Next Article NIC Yaimarisha Uhusiano na Wateja Maonesho ya Teknolojia ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?