MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TASAC Yapiga Marufuku Kampuni Binafsi Kusafirisha Shehena Hatarishi Za Migodini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TASAC Yapiga Marufuku Kampuni Binafsi Kusafirisha Shehena Hatarishi Za Migodini
Habari

TASAC Yapiga Marufuku Kampuni Binafsi Kusafirisha Shehena Hatarishi Za Migodini

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limepiga marufuku kwa kampuni binafsi kushiriki katika shughuli za usafirishaji na uondoaji wa kemikali hatarishi na vilipuzi vinavyotumika kwenye migodi, likisisitiza kuwa kazi hiyo ni ya shirika hilo pekee kwa mujibu wa sheria.
Mkurugenzi wa Huduma za TASAC, Hamid Mbegu amesema hayo katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyomalizika jana Septemba 28, 2025 mkoani Geita.
Habari Picha 9710
Amesema kumekuwepo na ukiukwaji wa sheria ambapo baadhi ya makampuni binafsi yamekuwa yakihusika na usafirishaji wa shehena hizo hatarishi, kinyume cha taratibu.
“Baadhi ya shehena hizi ni sumu na zina madhara makubwa. Serikali kupitia TASAC ndiyo yenye mamlaka ya kisheria kusimamia na kuratibu uondoshaji wa kemikali hizo. Tunasisitiza kuwa hakuna kampuni binafsi inayopaswa kujihusisha na kazi hii,” amesema Mbegu.
Ameongeza kuwa kwa mujibu wa Sheria ya Uwakala wa Meli, Sura 415, Kifungu Na.7, TASAC ndiyo taasisi pekee ya serikali yenye jukumu la kusimamia masuala yote ya ugomboaji na uondoaji wa shehena hatarishi, ikiwemo kemikali kama Sodium Cyanide, inayotumika katika shughuli za ulipuaji na usafishaji wa madini.
TASAC imetoa rai kwa wachimbaji wakubwa na wadogo, pamoja na kampuni za uagizaji na uondoaji wa mizigo, kuhakikisha wanazingatia sheria na kuepuka kutumia kampuni zisizoidhinishwa, kwani kufanya hivyo ni kukwenda kinyume cha sheria za nchi.
Maonesho ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya teknolojia bora katika sekta ya madini, huku yakihusisha wadau mbalimbali wakiwemo wachimbaji, taasisi za serikali, watafiti na wawekezaji.

You Might Also Like

JOWUTA Yawasilisha Ripoti ya Ukaguzi kwa Msajili

AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo

Serikali Yaendesha Warsha Kujenga Ushirikiano Na washirika Wa Maendeleo  

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Stamico Yahimiza Ubunifu, Uaminifu Na Kujituma
Next Article CHAUMMA: Tupo Tayari Kupunguza Gharama za Maisha – Salum Mwalim
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?