MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi
Habari

TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MOROGORO: MBALI na miwa, TARI Kibaha inahusika pia na uzalishaji wa mbegu bora za muhogo na viazi vitamu.
Mtafiti kutoka TARI Kibaha, Nsajigwa Mwakyusa, amesema hayo katika maonesho ya nanenane  Kanda ya Mashariki yanayoendelea mkoani Morogoro.
Amesema taasisi hiyo ina aina 25 za mbegu bora za muhogo ambazo zinastahimili ukame, zina tija ya zaidi ya tani 20 kwa hekta pia zina ukinzani dhidi ya magonjwa ya batobato na michirizi ya kahawia
Amesema mfumo rasmi wa upatikanaji wa mbegu umewekwa ambapo TARI huzalisha mbegu za awali, kisha wadau wengine huzalisha daraja la msingi, cheti na umbegu.
“Aina ya Kiroba hukomaa kati ya miezi nane hadi 12, na huweza kutoa mavuno ya hadi tani 31 kwa hekta,” amesema.
Kwa upande wa mbegu za viazi vitamu amesema TARI Kibaha ina aina 20 za viazi vitamu, ambapo mbegu 12 kati yake ni viazi lishe.
“Mbegu hizi zinatoa tija ya zaidi ya tani 10 kwa hekta, zinakomaa ndani ya miezi minne, zinastahimili ukame na magonjwa ya virusi pamoja na zinakabili wadudu waharibifu kama vidumuzi wa viazi ” amesema.
Maelezo yake ni kwamba viazi lishe vina kiasi kikubwa cha vitamini A, ambayo ni muhimu kwa watoto chini ya miaka mitano,wamama wajawazito na wanaonyonyesha, pamoja na wazee.
Amesema vitamini A husaidia kuimarisha afya ya macho, pia kwa kinga ya mwili.

You Might Also Like

Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa

Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi

DC Twange Apongeza Wananchi Kuchangia Maendeleo 

OUT Yawapiga Msasa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TAMWA Yawawezesha Wanawake Kupitia Mradi wa Nyuki
Next Article Mchome: Ubunifu wa VETA Ni Mkubwa, Sasa Ni Wakati Wa Uzalishaji Kwa Wingi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?