MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa
Habari

Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
CAPE TOWN – AFRIKA KUSINI: TANZANIA inaendelea kutangaza fursa mbalimbali za uwezeshaji katika Sekta ya Nishati ili kuifungua nchi Kimataifa.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amesema hayo leo Novemba tano katika Kongamano la Wiki ya Nishati 2024 linalowakutanisha
wadau wa nishati ya mafuta, gesi asilia na nishati jadidifu kutoka barani Afrika na nchi nyingine duaniani.
Amesema utangazaji huo wa nchi ya Tanzania, unaenda sambamba na mpango wa kunadi vitalu vilivyo wazi nchini kwa ajili ya utafutaji wa mafuta na Gesi Asilia.
“Tanzania inatumia kongamano hili kueleza fursa nyingine za uwekezaji katika vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia alivyopewa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na fursa zilizopo katika mkondo wa kati na wa chini wa petroli ikiwemo miradi ya Mini LNG.,” amesema.
Pia amesema Mamlaka ya Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) itakuwa na banda la maonesho kwa kushirikiana na TGS, huko masuala mbalimbali ya mkondo wa juu wa petroli yataoneshwa pamoja na maandalizi ya duru ya tano ya kunadi vitalu vya utafutaji mafuta na gesi asilia vilivyo wazi nchini.
Vile vile amesema kongamano hilo litavutia washiriki wengi duniani kwa kuwa limekidhi mwelekeo wa dunia wa kuondokana na nishati chafuzi za mazingira.
Amesema washiriki kutoka Tanzania wataweza kukutana na kampuni mbalimbali za mafuta na gesi asilia duniani ikiwemo Schlumber Company Ltd.
Kwa mwaka 2024, kongamano hilo ni la 30  linafanyika kuanzia Novemba nne hadi nane likihusisha wadau wa nishati zote duniani.

You Might Also Like

Mpogolo Aipongeza Halmashauri Maandalizi Mikopo Asilimia 10

Vijana Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Soko Huru la Afrika

Waziri Mkuu Kumwakilisha Dkt Samia Ivory Coast

Dar Sasa Kufanya Biashara Saa 24, Kuanza Februari 22 Mwaka Huu

Spika Ahoji Mwongozo Wa Wanaojitolea Kazin

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva
Next Article Programu Ya Mazoezi Kwa Watumishi Wizara YA Mambo Ya Ndani Yazinduliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?