MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani
Habari

Tanzania,  na Taasisi ya BVGH kuimarisha huduma za saratani

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani ili kuimarisha huduma za Saratani nchini Tanzania.
Makubaliano hayo yamefikiwa  katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania Jijini Washington DC nchini Marekani na kushuhudiwa na Waziri wa Afya wa Tanzania  Ummy Mwalimu  na Balozi wa Tanzania nchoni Marekani, Dk Elsie Sia Kanza.
Ushirikiano huo kati ya Wizara ya Afya na Taasisi hiyo, unalenga kuimarisha huduma kwa kutoa fursa za mafunzo kwa watalaam wa saratani wakiwemo madaktari bingwa na wabobezi katika huduma za mionzi.
Aidha mradi huo pia utatoa fursa kwa ajili ya tafiti katika huduma za Saratani, kuimarisha miundo mbinu ya huduma za saratani na kuwezesha upatikanaji wa dawa za saratani kwa gharama nafuu kwa watanzania.
Akiongea baada ya kusainiwa makubaliano hayo, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Serikali ya Awamu ya sita chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuboresha huduma za Saratani zinapatikana kwa urahisi kwa watanzania ili kupunguza vifo vitokanavyo na Saratani.
Naye Mkurugenzi wa Taasisi ya BVGH  Jennifer Bent baada ya kusaini makubaliano hayo alielezea kufurahishwa kwake na utayari wa Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi hiyo pamoja na namna ambavyo serikali imedhamiria kukabiliana na ugonjwa huu wa Saratani nchini. ‎wishoo

You Might Also Like

Ridhiwani: WCF Umeboresha Mifumo Ya Ushughulikiaji Wa Fidia

Majaliwa Asema Sekta ya Uvuvi Yaingiza trilioni 2.9 kwa Mwaka 

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Rafiki Mkubwa wa Trump, Elon Musk atanufaika vipi baada ya kumuunga mkono?  

UDOM yashauri matumizi ya green house kupata tija

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia
Next Article Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?