MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Habari

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Lahti, Finland
WIZARA Ya Maliasili na Utalii imeahidi kushirikiana na Kituo kikubwa cha kuzalisha mbegu za miti katika mji wa Oitti, Lahti, Finland.
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.Hassan Abbas amesema hayo nchini Finland alipoongozana na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania ( TFS), Profesa Dos Santos Silayo akiwa katika kituo hicho.
“Tanzania tuna vituo vyetu vya mbegu za miti lakini hapa tumejionea teknolojia za kiwango cha juu na kwa kuwa hapa nipo na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wetu wa Misitu (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, tumekubaliana tutashirikiana na kituo hiki kuboresha utafiti wetu na uzalishaji wa mbegu na miche ya miti nchini,,” amesema.
Kituo hicho ni miongoni mwa vituo vya mbegu vinavyoongoza Ufini na duniani kuzalisha mbegu bora za miti ya mbao na kufanya pia tafiti za mbegu za aina mbalimbali ya miti.
Pia Dkt. Abbasi na ujumbe wake walitembelea moja ya kampuni kubwa ya kutengeneza vifaa vya viwanda vya mbao cha Raute, Lahti, kinachouza vifaa vyake nchi mbalimbali duniani na kujionea teknolojia za kisasa katika sekta ya misitu.

You Might Also Like

Watafiti Watumia Mbinu Mpya Kudhibiti Mdudu Kantangaze Kwenye Nyanya Bila Viuatilifu

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Ridhiwani Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa China Nchini, Mingjian

Wanawake 1,063 Wahitimu Mafunzo Ya Ujuzi VETA Mbeya Kupitia Mpango Wa Rais Samia

Tume ya umwagiliaji yapambana kuinua kilimo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama
Next Article Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
Nyamhokya Atoa Wito kwa Wanawake Kusimama Imara Kiuchumi
Habari March 7, 2026
Balozi Seokolo Atoa Wito Kuimarisha Biashara na Viwanda Kanda ya SADC
Habari March 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?