MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti
Habari

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Lahti, Finland
WIZARA Ya Maliasili na Utalii imeahidi kushirikiana na Kituo kikubwa cha kuzalisha mbegu za miti katika mji wa Oitti, Lahti, Finland.
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt.Hassan Abbas amesema hayo nchini Finland alipoongozana na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Misitu Tanzania ( TFS), Profesa Dos Santos Silayo akiwa katika kituo hicho.
“Tanzania tuna vituo vyetu vya mbegu za miti lakini hapa tumejionea teknolojia za kiwango cha juu na kwa kuwa hapa nipo na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wetu wa Misitu (TFS), Prof. Dos Santos Silayo, tumekubaliana tutashirikiana na kituo hiki kuboresha utafiti wetu na uzalishaji wa mbegu na miche ya miti nchini,,” amesema.
Kituo hicho ni miongoni mwa vituo vya mbegu vinavyoongoza Ufini na duniani kuzalisha mbegu bora za miti ya mbao na kufanya pia tafiti za mbegu za aina mbalimbali ya miti.
Pia Dkt. Abbasi na ujumbe wake walitembelea moja ya kampuni kubwa ya kutengeneza vifaa vya viwanda vya mbao cha Raute, Lahti, kinachouza vifaa vyake nchi mbalimbali duniani na kujionea teknolojia za kisasa katika sekta ya misitu.

You Might Also Like

Makumbuli: Tunapinga kilimo cha bangi na mirungi

Dkt. Tumbo Aitaka Jamii Kuelimishwa Namna Bora Ya Kuhifadhi Taka

Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu

Kafulila: Ushirikiano wa Sekta Binafsi na Umma Kuboresha Huduma

Mikataba ya zaidi ya bilioni 50 kuhamasisha nishati salama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama
Next Article Sierra Leone Yaipongeza TARURAUjenzi Wa Madaraja, Barabara Za Mawe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?