MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania kujiimarisha zaidi kidiplomasia – Majaliwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania kujiimarisha zaidi kidiplomasia – Majaliwa
Habari

Tanzania kujiimarisha zaidi kidiplomasia – Majaliwa

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za kimataifa.
Amesema serikali imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika, sasa mafanikio yanaonekana.
Majaliwa amesema Rais Samia ameonesha
nia njema katika kipindi chake cha miaka mitatu na nusu kwa kujenga diplomasia na mahusiano katika sekta mbalimbali na nchi nyingi duniani.
Amesema hayo leo Agosti nne, 2024
alipokutana na Mkurugenzi Mkuu Mteule wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika (WHO) Dkt. Faustine Ndungulie, Ofisini kwake Mlimwa Jijini Dodoma.
“Tunaamini kazi kubwa tulizozifanya katika kipindi hiki cha miaka mitatu ya kumpata Spika wa Umoja wa Mabunge duniani haikuwa kazi ndogo, na tena tumepata Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika,” amesema.
Majaliwa amesema serikali itaendelea kumuunga mkono Mkurugenzi huyo  katika utekelezaji wa majukumu yake mapya.
“Wakati wote Waziri wa Afya atakuwa karibu nawe kuhakikisha kwamba sera zetu zinaenda sambamba na malengo ya WHO, kwa uwepo wako sisi lazima tuwe mstari wa mbele kuhakikisha kwamba tunakuunga mkono kwa mipango yetu ya afya ndani ya nchi,”.
Kwa upande wake Mkurugenzi huyo Mtarajiwa wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Dkt. Faustine Ndungulile amemshukiru Rais Samia kwa kumuunga mkono na kufanya ushawishi wa kidiplomasia ili kufanikisha ushindi huo.
“Kwa upekee sana ninamshukuru Rais  Samia kwa jitihada zake kubwa katika kufanikisha ushindi huu kwa ushawishi wake kwenye jumuia za kimataifa pia nawashukuru viongozi wengine wa Serikali, Bunge na wadau wote,” amesema.

You Might Also Like

Mtanda Akagua Maendeleo Ya Mradi YA Hoteli Ya Nyota Tano Ya NSSF

Majaliwa Afanya Harambee Ya Mei Mosi 2025

Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu

Ridhiwan Kikwete awaagiza maofisa kazi kushirikiana na WCF

TMA yatoa mwelekeo mvua za vuli 2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi la Uhifadhi watakiwa kuzingatia mafunzo – Wakulyamba
Next Article Ushirikiano Wa Nchi Za Kiafrika Uthibitike Kwa Vitendo -Dkt. Biteko
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?