MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi
Habari

Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema kwamba anwani za Makazi zimerahisisha kutekeleza majukumu yake katika kutambua na kuwafikia wadau wake muhimu wa mazingira.
Kaimu Meneja wa NEMC Kanda ya Kati Novatus Mushi ameeleza hayo wakati Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa alipotembelea banda la NEMC katika Maonesho ya Wiki ya Anwani za Makazi yanayoendelea jijini Dodoma.
Mushi amesema anwani hizo za makazi zimerahisisha hasa kwenye shughuli za utoaji wa elimu na kufanya ukaguzi wa Mazingira kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo miradi ya maendeleo.
Vile vile imerahisisha katika kushughulikia malalamiko ya wananchi hususani changamoto ya sauti zinazozidi viwango, hivyo anwani za Makazi zimekuwa zikisaidia NEMC kufika kwa urahisi katika maeneo yanayolalamikiwa.
NEMC linashiriki Maonesho ya Wiki ya Anwani za Makazi yaliyozinduliwa rasmi na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa  leo Februari sita, hadi Februari nane, 2025.

You Might Also Like

Wadau wa Kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua msimu 2024/25

Hazina yaanza kuwalipa wanachama 465 wa TALGWU

TRAWU Kupambania Mkataba Wa Hali Bora Kwa Wafanyakazi

TARI Yawafikia Wakulima Kilosa, Kilimo Shadidi Cha Mpunga

VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa
Next Article BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?