MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Yajipanga Kuinua Maisha ya Vijana, Yaahidi Mabadiliko Kupitia Sera, Sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Serikali Yajipanga Kuinua Maisha ya Vijana, Yaahidi Mabadiliko Kupitia Sera, Sheria
Habari

Serikali Yajipanga Kuinua Maisha ya Vijana, Yaahidi Mabadiliko Kupitia Sera, Sheria

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MBEYA: SERIKALI imesisitiza dhamira yake ya kuhakikisha vijana wanapata fursa sawa za kujiletea maendeleo na kuchangia kikamilifu katika ustawi wa taifa, kupitia utekelezaji wa sera, sheria, na mikakati madhubuti ya kijamii na kiuchumi.
Akizungumza  Jijini Mbeya wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Vijana la Tanzania, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mary Maganga, amesema serikali imeweka mifumo ya kitaasisi, mipango kazi, na miongozo yenye lengo la kukabiliana na changamoto zinazowakabili vijana nchini.
Habari Picha 9918
Kongamano hilo la siku mbili linalofanyika katika Ukumbi wa City Park Garden, linaendelea kesho Oktoba 13, 2025, likiwa limekusanya zaidi ya vijana 1,500 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na Maofisa Vijana kutoka Halmashauri zote.
Maganga amesema lengo kuu la kongamano hilo ni kuwawezesha vijana kujenga uwezo wa kushiriki kikamilifu katika mabadiliko ya kijamii na kiuchumi, kukuza ushirikiano, pamoja na kubadilishana mawazo, uzoefu na mbinu za kuleta maendeleo.
“Vijana ni nguvu ya mabadiliko na maendeleo katika jamii zetu. Ni lazima tutumie vema nguvu hii kubadilisha dunia kuwa mahali bora kwa ajili ya wote,” amesema.
Aidha, amewataka vijana kutumia jukwaa hilo kujadili changamoto zinazowakabili, ili serikali iweze kuyachukua maoni yao na kuyatumia katika maboresho ya sera, sheria na miongozo kwa manufaa ya vijana wote nchini.
Habari Picha 9919
Katika hatua nyingine, Katibu Mkuu huyo amewahimiza vijana kote nchini kushiriki kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, kwa kuwachagua viongozi wanaoendana na ndoto, malengo na matumaini ya taifa.
Mapema, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Rodrick Mpogolo, amewahimiza vijana kuwa wazalendo, kuipenda nchi na kujivunia taifa lao, akisisitiza kuwa kila kijana ana mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya taifa.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana, Seleman Mvunye, ameeleza kuwa kongamano hilo limehusisha vijana kutoka kila kona ya nchi, lengo likiwa ni kuhakikisha sauti zao zinasikika na mchango wao unatambulika katika ujenzi wa taifa.

You Might Also Like

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

TARURA Yaunganisha Vijiji Vya Ifinisi, Kambanga na Bugwe Wilayani Tanganyika

Rais Samia Azungumzia Mafanikio Ya Nishati Nchini

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCTA: Vijana Ni Nguvu Kazi Ya Taifa, Watumie Fursa Kujijenga
Next Article Mwalim: Nitarudisha Hadhi ya Dar es Salaam Kama Jiji Kamili
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?