MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Uncategorized > Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa
Uncategorized

Serikali Yaanza Mchakato wa Kujenga Uwanja wa Ndege Kyabajwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
Mbunge wa Misenyi, Florent Kyombo, ameuliza katika kipindi cha maswali na majibu bungeni mjini Dodoma, “Je, lini Uwanja wa Ndege wa Kyabajwa utaanza kujengwa?”
Habari Picha 11079
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Uchukuzi,David Kihenzile amesema kuwa Serikali imekwishaanza utekelezaji wa mradi wa kiwanja kipya cha ndege katika Mkoa wa Kagera kwa kuingia mkataba na Mtaalamu Elekezi.
Mtaalamu huyo atafanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa kiwanja hicho kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Kyabajwa.
Naibu Waziri alifafanua zaidi kuwa Mtaalamu Elekezi anatarajiwa kukabidhiwa eneo la kazi na kuanza kazi ndani ya robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2025/2026.
Aidha, kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina imepangwa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2026, na baada ya hapo hatua za utekelezaji wa mradi huo zitaanza rasmi.

You Might Also Like

PURA, M&P zajadili mradi wa uchorongaji visima vya gesi Mnazi Bay

GWSON yawakumbuka watoto wenye vichwa vikubwa,mgongo wazi kumbukizi ya Mwl.Nyerere

Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi,waweke pingamizi

Prof.Mwakalila azungumza na wanafunzi wapya wa MNMA asisitiza uadilifu na uzalendo

Tanzania yang’ara miradi ya Kinywe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Katoro Yapata Gari Jipya la Zimamoto, Kuwasili Februari 9
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Katoro Yapata Gari Jipya la Zimamoto, Kuwasili Februari 9
Habari February 4, 2026
Waziri Mbarawa Aagiza Adhabu Kali kwa Madereva, Makondakta Wanaonyanyasa Wanafunzi
Habari February 4, 2026
Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?