MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa
Habari

Ripoti Ya Bodadoda Yazinduliwa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

RIPOTI ya Utafiti kuhusu waendesha pikipiki na bajaj nchini imebaini kuwepo kwa vikwazo katika kazi hiyo huku wanawake wakikabiliwa na ukatili wa kijinsia pamoja na kutengwa

Aidha imeelezwa kuwa kazi hiyo bado ni hatarishi licha ya kuwa fursa kubwa ya kujipatia kipato katika jamii na Taifa kwa ujumla.

Hayo yameelezwa katika uzinduzi wa ripoti kupitia Utafiti uliofanywa na Chama Cha Wafanyakazi Wa Mawasiliano Na Usafirishaji Tanzania (COTWU-T) na Shirila La Friedrich Ebert Stiffung(FES) Tanzania .

Utafiti huo umefanywa katika mkoa Wa Dar es Salaam katika wilaya ya Kinondoni, Temeke, Ubungo na Ilala na Michaela Collord na Nice Mwansasu ukijumuisha madereva 150 Wa bodaboda wakiwemo wanawake 47.

Akizungumza Nice amesema ripoti hiyo imeangazia changamoto za kimuundo na fursa zilizopo ndani ya sekta hiyo kwa kuzingatia hasa usafiri ni suala endelevu,Maisha salama na Changamoto zinazowakabili madereva wanawake.

Amesema asilimia 68 ya madereva wa kiume na asilimia 78 ya madereva wa kike wameripoti kuongezeka kwa kipato baada ya kujiunga na kazi hiyo na kuweza kuhudumia watu takriban wanne hadi watano.

Amesema kazi hiyo bado ni hatarishi ikiwa na vikwazo kadha wa kadha ikiwemo urasimu, siasa na ukosefu wa mshikamano kati ya vyama vya madereva.

Amesema pia yapo madhara kwa watoa huduma hizo hususani wale wa mtandao ambapo mara nyingi hupunguziwa kipato chao.

Nice amesema ipo haja ya kushirikisha madereva latika miradi ya barabara, kuwe na sehemu za kupumzikia na upangaji wa miji kwa muda mrefu ili kuepuka kuondoakundi hilo katika maeneo yao ya kazi.

Kuhusu madereva wa kike amesema kuna haja yakutolewa mafunzo kuhusu namna yakupambana na ukatili wa kijinsia na kampuni za mabasi zikihamasishwa kuajiri wanawake kwa kuwa ni kundi linaloweza.

You Might Also Like

TPHPA yakusanya zaidi ya sampuli 10,000 za mbegu asili

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kwenye Kilele Cha Siku Ya Utumishi Wa Umma

Mikataba ya zaidi ya bilioni 50 kuhamasisha nishati salama

Wananchi Washauriwa Kujiunga Na Chuo Cha Ualimu Na Ufundi Stadi Morogoro

Ofisi Ya Mwandishi Mkuu Wa Sheria Yakamilisha Rasimu Ya Sheria 446 Kwa Lugha Ya Kiswahili

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wahamasika Kutumia Mbegu Bora Za Karanga Zilizofanyiwa Utafiti Na TARI
Next Article Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai
Habari August 6, 2025
Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?