MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia
Habari

RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
MIGOGORO na Mashauri 16 kutoka kwenye Kanda mbalimbali nchini, yamepokelewa na kushughulikiwa na Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi na Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari, Ufundi Stadi na Utafiti (RAAWU), kwa mwaka 2023/2024.
Katibu wa Elimu RAAWU, Baraka Shekimweri, ambaye anamwakikisha Katibu Mkuu wa chama hicho, Joseph Sayo ameeleza hayo alipozungumza na Mwandishi wa MFANYAKAZI, Mkoani Dar es Salaam.
Shekimweri amesema kati ya migogoro na mashauri hayo waliyofikishiwa, migogoro mitatu ilipatiwa ufumbuzi kwa wanachama kulipwa stahiki zao, na mmoja kuamriwa kurudi kazini.
Amesema mgogoro baina ya Lucy Manoni dhidi ya Mwenyekiti wa Bodi ya  Kanisa la Uinjilisti Mbalizi, ya kumwongezea mafao ya kustaafu ulikwisha baada ya kanisa kukubali kumuongezea sh. Milioni moja.
Vile vile mgogoro baina ya Kampuni ya UPSOS dhidi ya RAAWU, uliohusu upunguzaji wa wafanyakazi, baada ya kwenda Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), usuluhishi uifanyika na kuubaliana wafanyakazi kulipwa maslahi bora.
Pia mgogoro baina ya Audax Mrema dhidi ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT), wa kuingilia mfumo wa mitihani, umekamilika na mwanachama hana hatia hivyo anaendelea na kazi yake.
Amesema migogoro na mashauri mengine yapo katika hatua mbalibali za kisheria, mingine Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, kukata rufaa Tume ya Utumishi wa Umma, kuitwa kamati ya uchunguzi na mengine bado yanafanyiwa uchunguzi.
Amesema migogoro hiyo iliyopokelewa ni kutoka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya Mashariki na Kanda ya Kati.

You Might Also Like

Kikosi Kazi Maalumu Cha Kupitia Muongozo Wa Ufasili Wa Sheria Chazinduliwa

SGR Kipande Cha Saba Na Nane kuanza kujengwa

Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri

Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa

RC Chalamila, Wasaidizi Wake Kukutana na Kadogosa Kuzungumzia Ujenzi Wa Reli Dar

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Next Article CPC chatambua juhudi za Rais Samia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?