MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Ndunguru: Tumewezesha Usafirishaji wa Mazao Mbalimbali Yenye Thamani ya Trilioni 15.6
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Ndunguru: Tumewezesha Usafirishaji wa Mazao Mbalimbali Yenye Thamani ya Trilioni 15.6
Habari

Profesa Ndunguru: Tumewezesha Usafirishaji wa Mazao Mbalimbali Yenye Thamani ya Trilioni 15.6

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru amesema wamewezesha usafirishaji wa tani milioni 5.5 za mazao mbalimbali yakiwemo, mbogamboga, matunda, mikunde na viungo yenye thamani ya dola bilioni 6.6 sawa ns Sh. Trilioni 15.6.

Profesa Ndunguru amesema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya ya Mimea Mei 12, mwaka huu 2025 katika Viwanja vya Makumbusho ya Azimio La Arusha mkoani Arusha.

Amesema pia mamlaka hiyo imewezesha kuimarika kwa miundombinu ikiwemo ndege nyuki 21, mashine za maabara za uchambuzi wa masailia ya viuatilifu kwenye mazao ili mazao yakidhi mahitaji ya masoko ya kimataifa na ndege ya kunyunyizia viuatilifu.

Vile vile amesema mamlaka hiyo imewezesha upatikanaji wa uhakika wa takwimu za mazao ya kilimo kupitia kitengo cha intelijensia ya usalama wa afya ya mimea pamoja na hifadhi ya nasaba za mimea zaidi ya aina 10,000 za mazao ya asili.

Amesema siku hiyo ya Kimataifa ya Afya ya Mimea kimsingi ilitokana na Azimio lililoletwa na nchi ya Zambia la kuanzisha maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Afya ya Mimea.

Amesema azimio ambalo lilipata uungwaji mkono na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, huku nchi za Bolivia, Finland, Pakistan, Ufilipino na Tanzania zikitia saini Azimio hilo.

“Umoja wa mataifa ulianzisha maadhimisho haya ili kuongeza kiwango cha ufahamu na uelewa kidunia kuhusu jinsi ambavyo kukinga afya ya mimea kunavyoweza kusaidia kuondoa njaa, jinsi kunavyoweza kupunguza umasikini, jinsi kunavyoweza kulinda bayoanuai na mazingira na jinsi kunavyoweza kuchochea maendeleo ya kiuchumi,” amesema.

Ndunguru amesema maadhimisho hayo ya Siku ya Kimataifa ya Afya ya Mimea mwaka huu 2025, yana kauli mbiu isemayo, ‘Umuhimu wa Afya ya Mimea katika Afya Moja’, kauli inayoweka msisitizo wa jinsi mimea yenye afya njema ilivyo muhimu kwa maisha ya binadamu, wanyama na mazingira.

You Might Also Like

Rais Wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Mgeni Rasmi Mkutano Wa THRAPA

Madiwani  Saidieni Wananchi Njia Sahihi Ya  Kutoa Taarifa Za Hitilafu Za Umeme-Mpogolo

Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji

Wananchi Watakiwa Kufahamu Sheria Na Miongozo

VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Daraja La Magufuli Laimarisha Uhusiano Wa Jumuiya Ya China,Tanzania Yenye Mustakabali Wa Pamoja
Next Article TPHPA Tuna Mchango Mkubwa Katika Utoshelevu Wa Chakula – Ndunguru
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Kijaji: Huduma ya Kudungwa na Nyuki Kuongeza Kinga Yavutia Bungeni
Habari May 15, 2026
Serikali  Kutumia Fursa  ya AFCON,  Miss World Na IPU Kukuza Utalii Nchini
Habari May 15, 2026
TFS Yavunja Rekodi Utalii Wa Misitu,Mapato Yapaa Kwa Asilimia 43
Habari May 15, 2026
Serikali Kuimarisha Uvuvi Bahari Kuu Kupitia TAFICO
Habari May 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?