MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: OCPD Yakabidhi Juzuu Mpya za Sheria kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > OCPD Yakabidhi Juzuu Mpya za Sheria kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka
Habari

OCPD Yakabidhi Juzuu Mpya za Sheria kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: OFISI ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) imekabidhi Juzuu za Toleo la Urekebu wa Sheria la mwaka 2023 kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka, ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango mkubwa wa Ofisi hiyo katika mchakato wa urekebu wa sheria.
Akikabidhi nakala hizo kwa Mkurugenzi wa Mashitaka, Sylvester Mwakitalu, Kaimu Mkurugenzi wa Divisheni ya Urekebu, Tafiti na Mafunzo, Rehema Katuga, amesema ushirikiano uliotolewa na Ofisi ya Mashitaka ulikuwa wa kipekee na umechangia kwa kiasi kikubwa kukamilika kwa kazi hiyo ya kihistoria.
Habari Picha 9424
“Wakati tunaanza kazi hii tulikabiliwa na uhaba wa watumishi, hasa mawakili, lakini tuliomba msaada kutoka Ofisi ya Mashitaka na kwa kweli walijitokeza na kutusaidia hadi kukamilika kwa kazi hii,” amesema.
Aliongeza kuwa, licha ya nakala zilizotolewa kuwa chache kutokana na gharama, zinatarajiwa kuwa nyenzo muhimu za mwanzo kwa Ofisi hiyo. Pia aliwashauri watumie nakala laini zinazopatikana kupitia mfumo wa OAG MIS Library.
Katuga amebainisha kuwa tayari maandalizi ya Urekebu wa kila mwaka kwa 2024 na 2025 yameanza, ili kujumlisha marekebisho ya sheria yanayofanywa na Bunge kila mwaka. Alisema baada ya miongo kumi, toleo lingine litatolewa lakini kazi haitakuwa nzito kama miaka iliyopita.
Kuhusu changamoto za matumizi ya toleo jipya, Katuga amesema baadhi ya wadau wamekuwa wakihitaji mafunzo kutokana na mabadiliko ya mpangilio wa vifungu na namba, ikilinganishwa na toleo la mwaka 2002. Amesema OCPD inapanga kutoa mafunzo ya kina kwa mawakili na wadau wengine ili kuwajengea uelewa.
Aidha, pamoja na nakala tano za juzuu hizo, OCPD imeikabidhi Ofisi ya Mashitaka tuzo maalum kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kutambua mchango wao kwenye zoezi hilo.
Habari Picha 9425
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mashitaka, Sylvester Mwakitalu, ameishukuru OCPD kwa kazi kubwa na kwa kuwapatia nakala hizo ambazo amesema ni nyenzo muhimu kwa utendaji wao wa kila siku.
“Tunazitumia sheria hizi kila siku kwenye Mahakama za Wilaya, za Hakimu Mkazi, Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani. Kupata nakala hizi kumeepusha gharama kubwa ambazo tungezitumia kununua,” amesema.
Amesema nakala hizo zitasambazwa kwa mawakili wa serikali waliopo mahakamani huku wakisubiri kupata nyingine kwa njia rasmi, pamoja na kutumia toleo la kielektroniki lililopo kwenye mfumo.
Toleo la Urekebu wa Sheria la 2023 lilizinduliwa rasmi na Rais. Samia Suluhu Hassan mwezi Aprili mwaka huu, na litaanza kutumika rasmi Julai mosi,, 2025, likifuta rasmi toleo la mwaka 2002.

You Might Also Like

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, Laleta Furaha Kwa Watoto

Nyamhokya: Mei Mosi Ni Singida Mwaka Huu 2025

TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi

VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MOI Yazindua Mfumo Mpya Wa Kielektroniki Wa Kupanga Miadi Na Madaktari
Next Article Wastaafu Watakiwa Kutafuta Ushauri  Wa Kitaalam Kwa Matumizi Ya Mafao
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?