MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchimbi Agongelea Nyundo Kwa Wagombea Watoa Rushwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchimbi Agongelea Nyundo Kwa Wagombea Watoa Rushwa
Habari

Nchimbi Agongelea Nyundo Kwa Wagombea Watoa Rushwa

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Emmanuel Nchimbi, ameonya tabia ya baadhi ya wanachama walioanzisha utamaduni wa kutengeneza makundi,
Makundi ambayo yanatoa  matamko ya kuwataka baadhi ya wanasiasa ndani ya chama hicho kuwa wagombea pekee jambo ambalo halikubaliki.
Nchimbi amesema hayo leo Februari 19, 2025 alipofungua mafunzo kwa makatibu tawi,kata,wilaya na Mkoa katika Mkoa wa Dodoma.
“Wapo wanachama watakao gombea na watakao hamasisha matamko kwenye maeneo yao ili wawe wagombea pekee wagombea hao watahamasisha kuenguliwa kwa majina yao kirahisi.
“Pia wapo wagombea ambao wameanzisha utaratibu wa kutengeneza makundi ya kutoa matamko mbalimbali ya kulazimisha asijitokeze mgombea mwingine kuwania nafasi fulani ya uchaguzi.
“Na wengine wanatengeneza sherehe za kumbukizi ya kuzaliwa kwa bini yake na kuwaalika wana CCM na kuwalipa posho huku wakiwa wamevalia nguo za kijani,watu wa aina hiyo watakatwa majina yao mapema na wala wasidhani kuwa wataonewa huruma,” amesema.
Akizungumzia hilo amesema, kuna mchezo wa mtu kuandaa sherehe ya kufanya kumbukizi ya ndoa kwa kutimiza miaka mitano wakati ndoa ina miaka mitatu na anakuwa na ujasiri wa kualika wana CCM 300 na kuwalipa posho jambo abalo linaonesha wazi kuwa hatua hiyo ni ushawishi wa rushwa.
Amesema uongozi wa CCM umeanza kufuatilia matukio ya aina hiyo na iwapo uongozi utajiridhisha kuwa kuna mgombea anafanya vitendo vya kutoa rushwa au kusingizia kufanya sherehe na matamko mgombea huyo hataweza kupenya.
Amewataka makatibu ambao watakuwa sehemu ya usimamizi wa uchaguzi kufuatilia matukio, kuweka rekodi vizuri ili pale itakapo bainika kutokea mambo hayo atakayekuwa anagombea achujwe mapema.
Pia. amesema,”Kuna watu wanatenga laki tano tano na kuwahesabu wajumbe 300 kwa kuwahonga na wanapopata uongozi wanakuwa hawafanyi kitu chochote kwa madai kuwa wao walimaliza mchezo kwa kuwanunua .
“Wote mnajua kuwa uchaguzi unaweza kuwa mgumu kulingana na watu mliowachagua na tabia zao,mlevi anaweza kupita barabarani anayumba lakini hakuna wa kumsema lakini ukiwa umevaa sare yako ya chama na ukaonekana umelewa utapigwa picha na kuwekwa mitandaoni na kuanza kueleza kuwa kigogo wa CCM akutwa amelewa chakali”amesema.
Nchimbi amesema CCM kinataka kupata viongozi makini na wachapa kazi ambao watakuwa kinyume na masuala ya rushwa sambamba na kutokuchafuana kati ya waliopo madarakani na wale wanaotaka kuingia.

You Might Also Like

Wafanyakazi waitwa kupeleka changamoto za kikazi CMA

Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC

Kuhusisha Wanafunzi Matukio Ya Kisayansi, Kunawafanya Waipende 

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

Chagueni Viongozi Wanaofaa-Biteko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt Biteko Ampongeza Mwanafunzi Aliyeelezea Miradi Ya Umeme
Next Article Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?