MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Habari

Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

ARUSHA:WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma.

Mafunzo hayo yameandaliwa na wizara hiyo kupitia Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Akifungua mafunzo hayo, Nchemba ameipongeza kamati hiyo kwa kutekeleza kikamilifu jukumu lake la msingi la usimamizi wa fedha za umma na kukuza utawala bora katika nchi hatua ambayo imeisaidia serikali kuboresha maandalizi ya hesabu za Serikali, kuimarisha mifumo ya kielekroniki ya usimamizi wa fedha za umma, na kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa bajeti inayoidhinishwa na Bunge.

Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya PAC, Josephat Hasunga ameishukuru wizara hiyo kwa kuandaa mafunzo hayo kwa wajumbe wa kamati hiyo, kwa kuwa mafunzo hayo yatawajengea uwezo zaidi wa kuelewa namna Serikali kupitia Wizara ya Fedha inavyotekeleza majukumu yake kikamilifu katika usimamizi wa Fedha za umma zinazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya jamii na kukuza uchumi wa nchi.

 

You Might Also Like

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

China Inaongoza Sekta ya Miundombinu na Ujenzi Tanzania

RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame

Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vipima Ulevi Zaidi Ya 3000 Vyakabidhiwa Polisi Na Latra
Next Article Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?