MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Habari

Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

ARUSHA:WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma.

Mafunzo hayo yameandaliwa na wizara hiyo kupitia Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Akifungua mafunzo hayo, Nchemba ameipongeza kamati hiyo kwa kutekeleza kikamilifu jukumu lake la msingi la usimamizi wa fedha za umma na kukuza utawala bora katika nchi hatua ambayo imeisaidia serikali kuboresha maandalizi ya hesabu za Serikali, kuimarisha mifumo ya kielekroniki ya usimamizi wa fedha za umma, na kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa bajeti inayoidhinishwa na Bunge.

Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya PAC, Josephat Hasunga ameishukuru wizara hiyo kwa kuandaa mafunzo hayo kwa wajumbe wa kamati hiyo, kwa kuwa mafunzo hayo yatawajengea uwezo zaidi wa kuelewa namna Serikali kupitia Wizara ya Fedha inavyotekeleza majukumu yake kikamilifu katika usimamizi wa Fedha za umma zinazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya jamii na kukuza uchumi wa nchi.

 

You Might Also Like

Ridhiwani Aiagiza CMA Kushughulikia Migogoro Kwa Haraka, Ufanisi

Kabonaki: Jiungeni Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari

TAFIRI Wakabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi

Chukueni Mkopo, Kwenye Taasisi Zilizopewa Leseni Na BOT

TEA Yaweka Mikakati Madhubuti Kukuza Mafunzo ya Amali Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vipima Ulevi Zaidi Ya 3000 Vyakabidhiwa Polisi Na Latra
Next Article Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?