MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Habari

Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

ARUSHA:WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma.

Mafunzo hayo yameandaliwa na wizara hiyo kupitia Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC).

Akifungua mafunzo hayo, Nchemba ameipongeza kamati hiyo kwa kutekeleza kikamilifu jukumu lake la msingi la usimamizi wa fedha za umma na kukuza utawala bora katika nchi hatua ambayo imeisaidia serikali kuboresha maandalizi ya hesabu za Serikali, kuimarisha mifumo ya kielekroniki ya usimamizi wa fedha za umma, na kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa bajeti inayoidhinishwa na Bunge.

Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya PAC, Josephat Hasunga ameishukuru wizara hiyo kwa kuandaa mafunzo hayo kwa wajumbe wa kamati hiyo, kwa kuwa mafunzo hayo yatawajengea uwezo zaidi wa kuelewa namna Serikali kupitia Wizara ya Fedha inavyotekeleza majukumu yake kikamilifu katika usimamizi wa Fedha za umma zinazotumika kutekeleza miradi mbalimbali ya jamii na kukuza uchumi wa nchi.

 

You Might Also Like

FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara

Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa

Wananchi Waendelee Kupewe Elimu Kuhusu Bioteknolojia

Wizara Ya Nishati Yaendelea Kutoa Elimu Kuhusu Matumizi Ya Nishati Safi Ya  Kupikia

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vipima Ulevi Zaidi Ya 3000 Vyakabidhiwa Polisi Na Latra
Next Article Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?