MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika
Habari

Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

MOROGORO: MWONGOZO wa Mafunzo Elekezi kwa walimu wanaoajiriwa kwenye Utumishi wa Umma, umeandaliwa ili kuondoa utofauti katika kuwaelekeza walimu wapya kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma.

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Profesa Maosud Muruke amesema hayo wakati akifungua kikao kazi mkoani Morogoro.

Profesa Muruke amesema maboresho ya mwongozo huo ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya utumishi wa walimu nchini.

“Mwangozo umetoa maelekezo mahsusi kwa walimu wapya kuhusu misingi ya utumishi wa umma na utumishi wa walimu, haki na wajibu wao pamoja na miiko na maadili katika utekelezaji wa majukumu yao pamoja na taratibu zingine,” amesema.

Naye Katibu wa TSC Paulina Nkwama amesema kuwa mwongozo utawasaidia walimu wanaoajiriwa katika utumishi wa umma Tanzania Bara kupata uelewa mzuri wa sheria, kanuni, taratibu na miongozo inayosimamia utumishi wa umma kwa ujumla na hususani katika utumishi wa walimu.

Amesema walimu wataweza kufahamu haki, wajibu, maadili yanayoongoza utumishi wa umma na taaluma ya kada yao kwa ajili ya kuimarisha utendaji kazi na hivyo kuwa na Utumishi wa umma wenye tija na utoaji wa huduma bora kwa wateja.

Pia mwongozo huo unalenga kuwapatia walimu wapya taarifa za msingi kuhusu haki na wajibu wao kama watumishi wa umma, kuwawezesha kufahamu mbinu bora za kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na kuwasisitiza umuhimu wa kujitambua kama watumishi wanaowajibika kwa jamii.

Ikiwa ni pamoja na kuwaelimisha walimu kuhusu taratibu za kupanda madaraja, taratibu na hatua mbalimbali za kinidhamu, na umuhimu wa kudumisha uadilifu katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku.

 

 

 

You Might Also Like

Silaa Atembelea Banda La NEMC, Wiki Ya Anwani Za Makazi

Wahifadhi Saohill Wapongezwa

Shilingi bilioni 4.6 kupeleka umeme maeneo ya migodi

Bonifas Jacob aahidi  akishinda Uenyekiti Kanda ya Pwani hatakaa ofisini

Trump Kusitisha Sheria Za AGOA, Afrika Yapata Hasara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere
Next Article Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?